Zambia yapata kocha mpya
Timu ya taifa ya Zambia imepata kocha mpya, Honour Janza baada ya Patrice Beaumelle kuiaga timu hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Taifa Stars yapata kocha mpya
Charles Boniface Mkwasa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania akisaidiwa na Hemed Moroco
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Zambia yamteua naibu kocha mpya
Timu ya soka ya Zambia imemuajiri Nico Lobohm kama naibu kocha wa Honour Janza.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kM5FmHA-H_E/VYLfwhWG9yI/AAAAAAAHhFM/A6LDwJJ8id8/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
KAMPUNI YA KITANZANIA YA PAN AFRICAN REFRACTORY SERVICE CO. LTD YAPATA TENDA KUBWA ZAMBIA
Kampuni ya Kitanzania inayomilikiwa na Bw. Twalib Lubangula imepata tenda kubwa nchini Zambia ya kukarabati viwanda vya Cement Ndola na sehemu nyingine nchini. Ni jambo la kujivunia kuwa Kampuni inayomilikiwa na Mtanzania kwa asilimia 100 kupata tenda kubwa nchi za nje na kampuni hiyo inafanya vizuri sana.
Mhe. Grace J. E. Mujuma Balozi wa Tanzania nchini Zambia akipata maelezo kuhusu mafanikio ya Kampuni ya Pan African Refractory Services Co. Ltd ya Tanzania kutoka kwa mmiliki wa kampuni...
![](http://1.bp.blogspot.com/-kM5FmHA-H_E/VYLfwhWG9yI/AAAAAAAHhFM/A6LDwJJ8id8/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
10 years ago
Habarileo19 Dec
TPDC yapata bosi mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu kwa vyombo vya habari jana, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema uteuzi huo ulianza Desemba 15, mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Muhimbili yapata CT Scan mpya
Serikali imeanza kufunga mashine mpya ya vipimo ya CT Scan kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la upungufu wa vifaa tiba.
11 years ago
Michuzi26 Jun
APRM yapata CEO mpya
Na Mwandishi Wetu, Malabo
MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) umempata Mtendaji wake Mkuu mpya atakayeongoza ofisi ya taasisi hiyo katika ngazi ya Bara la Afrika iliyoko mjini Midrand, Afrika Kusini.
Uamuzi huo umefikiwa katika Mkutano wa 21 wa Wakuu wa Nchi za APRM uliofanyika mjini hapa, ambapo aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Mpango wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Assane Mayaki kutoka Niger ndiye amehamishiwa APRM.
Mabadiliko hayo yamekuja wakati ambapo wakuu wa Nchi za APRM...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania