APRM yapata CEO mpya
Na Mwandishi Wetu, Malabo
MPANGO wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) umempata Mtendaji wake Mkuu mpya atakayeongoza ofisi ya taasisi hiyo katika ngazi ya Bara la Afrika iliyoko mjini Midrand, Afrika Kusini.
Uamuzi huo umefikiwa katika Mkutano wa 21 wa Wakuu wa Nchi za APRM uliofanyika mjini hapa, ambapo aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Mpango wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Assane Mayaki kutoka Niger ndiye amehamishiwa APRM.
Mabadiliko hayo yamekuja wakati ambapo wakuu wa Nchi za APRM...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eQsAv0n0Vv0/VP1KzFmwhaI/AAAAAAAHI0U/ZItuvw3GzMU/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
NMB Wapata Mkurugenzi na CEO Mpya Bi. Ineke Bussemaker, Wamkaribisha Rasmi na kumuaga aliyemaliza muda wake
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Muhimbili yapata CT Scan mpya
11 years ago
Dewji Blog31 May
Malawi yapata Rais mpya
Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya kuapishwa rasmi kwa Peter Mutharika (pichani) wa chama cha DPP na makamu wake.
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa nne na asilimia 13.7
Mwenyekiti wa tume ya...
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Madagascar yapata Rais mpya
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-byZU2kUwitU/U-utKE-ZyPI/AAAAAAAF_P0/dAwSGSpxycs/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
DAWASCO YAPATA BODI MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-byZU2kUwitU/U-utKE-ZyPI/AAAAAAAF_P0/dAwSGSpxycs/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Tunisia yapata katiba mpya
10 years ago
Habarileo19 Dec
TPDC yapata bosi mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu kwa vyombo vya habari jana, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema uteuzi huo ulianza Desemba 15, mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
ATCL yapata ndege mpya
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya nchini Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa...