Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWASCO YAPATA BODI MPYA

Na Athumani Shariff (MoW)

Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe, leo amezindua rasmi BODI mpya ya Shirika la majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASCO) inayoundwa na wajumbe 13. BODI hii  imeundwa baada ya ile ya zamani kumaliza muda wake.Bodi hiyo mpya imeteuliwa tangu tarehe 1/8/2014 inayojumuisha wataalam mbalimbali wakiwemo maprofesa wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, viongozi wa kisiasa na asasi za kiraia inaongozwa na Mwenyekiti Meja Generali Mstaafu Samweli Kitundu.Pia wamo Nehemia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UTARATIBU MPYA WA KUPATA BILI KWA WATEJA WA DAWASCO

SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),  LINAWATANGAZIA  WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI  KUWA, UTARATIBU WA KUPATA BILI KWA MTEJA UMEBADILIKA KUTOKA “SPOT BILL” KWENDA “SPOT SMS” KUANZIA  JULAI 2015.
UTARATIBU HUU UNAMAANISHA KUWA MTEJA ATAKUWA AKIPATIWA BILL YAKE YA MATUMIZI YA MAJI KILA MWEZI KUPITIA SIMU YAKE YA MKONONI, NA UTALENGA WATEJA WA MAJUMBANI TU NA HAUTAHUSISHA KAMPUNI NA TAASISI ZA SERIKALI.
FAIDA ZA UTARATIBU HUU NI PAMOJA NA...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YATANGAZA KUANZA KUTUMIKA KWA BEI MPYA YA MAJI JIJINI DAR

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam,(DAWASCO), limeanza rasmi kutumia bei zake mpya za ankara ya Maji, ikiwa ni siku chache tu baada  ya Mamlaka ya Udhibiti wa huduma ya  Nishati na Maji (EWURA) kupitisha  mapendekezo ya kupandisha gharama hizo zilizotolewa na Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (DAWASA) ili kusaidia kuboresha  huduma ya Majisafi na salama jijini Dar es salaam, Kibaha, na Bagamoyo mkoani Pwani.
Gharama hizo mpya ambazo zimeanza rasmi kutumika Disemba 01, zimepanda...

 

10 years ago

Habarileo

TPDC yapata bosi mpya

Dk James Mataragio RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu kwa vyombo vya habari jana, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema uteuzi huo ulianza Desemba 15, mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Puntland yapata Rais Mpya

Wabunge katika jimbo la Puntland wamemchagua waziri mkuu wa zamani wa Somalia Abdiweli Muhammad kama Rais mpya wa jimbo hilo lililojitenga na Somalia.

 

9 years ago

Mwananchi

Muhimbili yapata CT Scan mpya

Serikali imeanza kufunga mashine mpya ya vipimo ya CT Scan kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la upungufu wa vifaa tiba.

 

11 years ago

Dewji Blog

Malawi yapata Rais mpya

peter-mutharika-court-600x295

Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya kuapishwa rasmi kwa Peter Mutharika (pichani) wa chama cha DPP na makamu wake.

Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa nne na asilimia 13.7

Mwenyekiti wa tume ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tunisia yapata katiba mpya

Bunge la Tunisia limeidhinisha katiba mpya,ikiwa ni ya kwanza tangu kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo Ben Ali,miaka 3 iliopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL yapata ndege mpya

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya nchini Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani