Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zambia yamteua naibu kocha mpya

Timu ya soka ya Zambia imemuajiri Nico Lobohm kama naibu kocha wa Honour Janza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yapata kocha mpya

Timu ya taifa ya Zambia imepata kocha mpya, Honour Janza baada ya Patrice Beaumelle kuiaga timu hiyo

 

9 years ago

Bongo5

Liverpool yamteua Jurgen Klopp kuwa meneja mpya

Klabu ya Liverpool imemteua Jurgen Klopp kuwa meneja wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu. Klopp ambaye ni raia wa Ujerumani ana miaka 48 anachukua nafasi ya Brendan Rodgers aliyetimuliwa hivi karibuni baada ya kuhudumu katika klabu hiyo kwa miaka mitatu na nusu. Klopp anatarajiwa kuanza kazi katika klabu hiyo ya Liverpool akiwa na wasaidizi […]

 

11 years ago

Michuzi

TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA

Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage amesema kikosi chake kiko tayari kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia itakayochezwa keshokutwa (Ijumaa) jijini Lusaka.
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....

 

11 years ago

BBCSwahili

Marufuku kwa Naibu Kocha wa Chelsea

Naibu wa kocha wa Chelsea,amepigwa marufuku ya uwajani kwa jumla ya mechi sita

 

11 years ago

Michuzi

kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC

Na Bin ZubeiryMazungumzo yamekwishanyika na makubaliano yamefikiwa baina ya Patrick Phiri kutoka Zambia (pichani)  na Simba SC na sasa atakuja kufanya kazi tena Msimbazi, akisaidiwa na Nahodha wake enzi zake akifundisha timu hiyo, Suleiman Abdallah Matola ‘Osama’.

Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Zambia aapishwa

Edgar Lungu aapishwa mjini Lusaka kuwa rais mpya wa Zambia baada ya kushinda kwa kura chache

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool kupata kocha mpya?

Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Jurgen Klopp.

 

11 years ago

BBCSwahili

Martino ni kocha mpya Argentina

Argentina imemteua aliyekuwa kocha wa Barcelona Gerardo Martino kurithi nafasi yake Alejandro Sabella

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani