Zambia yamteua naibu kocha mpya
Timu ya soka ya Zambia imemuajiri Nico Lobohm kama naibu kocha wa Honour Janza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Zambia yapata kocha mpya
Timu ya taifa ya Zambia imepata kocha mpya, Honour Janza baada ya Patrice Beaumelle kuiaga timu hiyo
9 years ago
Bongo509 Oct
Liverpool yamteua Jurgen Klopp kuwa meneja mpya
Klabu ya Liverpool imemteua Jurgen Klopp kuwa meneja wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu. Klopp ambaye ni raia wa Ujerumani ana miaka 48 anachukua nafasi ya Brendan Rodgers aliyetimuliwa hivi karibuni baada ya kuhudumu katika klabu hiyo kwa miaka mitatu na nusu. Klopp anatarajiwa kuanza kazi katika klabu hiyo ya Liverpool akiwa na wasaidizi […]
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....
11 years ago
BBCSwahili02 May
Marufuku kwa Naibu Kocha wa Chelsea
Naibu wa kocha wa Chelsea,amepigwa marufuku ya uwajani kwa jumla ya mechi sita
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s72-c/PATRICK+PHIRI.jpg)
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-4RLcSt4W2js/U-m2KV4qlsI/AAAAAAAF-z0/K1wQKt_FOvU/s1600/PATRICK+PHIRI.jpg)
Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Rais mpya wa Zambia aapishwa
Edgar Lungu aapishwa mjini Lusaka kuwa rais mpya wa Zambia baada ya kushinda kwa kura chache
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS
Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Liverpool kupata kocha mpya?
Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Jurgen Klopp.
11 years ago
BBCSwahili13 Aug
Martino ni kocha mpya Argentina
Argentina imemteua aliyekuwa kocha wa Barcelona Gerardo Martino kurithi nafasi yake Alejandro Sabella
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania