Rais mpya wa Zambia aapishwa
Edgar Lungu aapishwa mjini Lusaka kuwa rais mpya wa Zambia baada ya kushinda kwa kura chache
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rais mpya wa Tanzania aapishwa
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Ghani aapishwa rais mpya Afghanistan
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
10 years ago
StarTV30 Sep
Ashraf Ghani aapishwa kuwa rais mpya Afghanistan
Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan, akichukua nafasi ya Hamid Karzai katika sherehe zilizofanyika ikulu ya rais mjini Kabul.
Kuapishwa kwa Bwana Ghani kunakuja baada ya miezi sita, huku kukiwa na mvutano mkubwa kuhusu kulalamikia udanganyifu katika kupiga na kuhesabu kura.
Kwa mujibu wa mkataba uliosimamiwa na Marekani Bwana Ghani atashirikiana madaraka na mshindi wa pili katika uchaguzi wa urais Bwana Abdullah Abdullah ambaye atakuwa afisa mtendaji mkuu.
Kundi...
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amvalisha Rais mpya wa Zambia
![](http://1.bp.blogspot.com/-OteRK22qrEc/VMWDJTRu9wI/AAAAAAADMX8/pHwUEXbREMo/s1600/10460875_837976706263765_5760763711612857469_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3zauYTYQeU/VMWA_1P1RJI/AAAAAAADMXE/-JB62qDFr-U/s1600/54c5137b58bc2.image.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kVCyOJ-DLhI/VMU1-0SUOxI/AAAAAAADMWc/rpxt0s73dCQ/s1600/Edgar-Lungu_3175999b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SZCK8fPNflo/VMWC_Vg9uII/AAAAAAADMX0/sKQO1CkdVtw/s1600/10841859_837944056267030_287485067717353881_o.jpg)
Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini...
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Balozi Seif Iddi ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya Zambia
Mtoto wa Kizambia Anna Samwel Munata akimkabidhi ua Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ikiwa ishara ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa eneth Kaunda alipohudhuria kuapishwa kwa Rais Mpya wa Nchi hiyo Bwana Edgar Chagwa Lungu.Kulia ni Waziri wa Kazi na huduma za Kijamii wa Serikali ya Jamuhuri ya Zambia Bwana Fackson Shamenda.
Balozi Seif akisalimiana na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania waliopo Lusaka Zanzbia kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda...
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
AG MPYA ZANZIBAR AAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
10 years ago
MichuziMKUU MPYA WA WILAYA YA NGORONGORO AAPISHWA