AG MPYA ZANZIBAR AAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rais mpya wa Tanzania aapishwa
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Rais mpya wa Zambia aapishwa
10 years ago
MichuziMKUU MPYA WA WILAYA YA NGORONGORO AAPISHWA
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Ghani aapishwa rais mpya Afghanistan
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Waziri mpya wa usalama aapishwa Kenya
10 years ago
Habarileo03 Dec
CAG mpya aapishwa, asubiri ripoti Escrow
RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad. Ameapishwa baada ya aliyekuwepo, Ludovick Utouh, kustaafu kwa mujibu wa Sheria na Katiba.
10 years ago
StarTV30 Sep
Ashraf Ghani aapishwa kuwa rais mpya Afghanistan
Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan, akichukua nafasi ya Hamid Karzai katika sherehe zilizofanyika ikulu ya rais mjini Kabul.
Kuapishwa kwa Bwana Ghani kunakuja baada ya miezi sita, huku kukiwa na mvutano mkubwa kuhusu kulalamikia udanganyifu katika kupiga na kuhesabu kura.
Kwa mujibu wa mkataba uliosimamiwa na Marekani Bwana Ghani atashirikiana madaraka na mshindi wa pili katika uchaguzi wa urais Bwana Abdullah Abdullah ambaye atakuwa afisa mtendaji mkuu.
Kundi...
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s72-c/unnamed.jpg)
Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s1600/unnamed.jpg)