Rais mpya wa Tanzania aapishwa
John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada kuapishwa mbele ya umati mkubwa wa watu waliojaa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakiwemo viongozi wa mataifa mbalimbali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Rais mpya wa Zambia aapishwa
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Ghani aapishwa rais mpya Afghanistan
10 years ago
StarTV30 Sep
Ashraf Ghani aapishwa kuwa rais mpya Afghanistan
Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan, akichukua nafasi ya Hamid Karzai katika sherehe zilizofanyika ikulu ya rais mjini Kabul.
Kuapishwa kwa Bwana Ghani kunakuja baada ya miezi sita, huku kukiwa na mvutano mkubwa kuhusu kulalamikia udanganyifu katika kupiga na kuhesabu kura.
Kwa mujibu wa mkataba uliosimamiwa na Marekani Bwana Ghani atashirikiana madaraka na mshindi wa pili katika uchaguzi wa urais Bwana Abdullah Abdullah ambaye atakuwa afisa mtendaji mkuu.
Kundi...
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Rais John Magufuli aapishwa rasmi Tanzania
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecH0S1dOskA/VjtQ9LhIKpI/AAAAAAADB0Y/umjX2Ug3Xfs/s640/jpm3.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
AG MPYA ZANZIBAR AAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K6Z6WnGBXrU/VED0HhuzitI/AAAAAAAGrMk/dO-Z4EaQMSU/s1600/unnamed%2B(56).jpg)