Ashraf Ghani aapishwa kuwa rais mpya Afghanistan
Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan, akichukua nafasi ya Hamid Karzai katika sherehe zilizofanyika ikulu ya rais mjini Kabul.
Kuapishwa kwa Bwana Ghani kunakuja baada ya miezi sita, huku kukiwa na mvutano mkubwa kuhusu kulalamikia udanganyifu katika kupiga na kuhesabu kura.
Kwa mujibu wa mkataba uliosimamiwa na Marekani Bwana Ghani atashirikiana madaraka na mshindi wa pili katika uchaguzi wa urais Bwana Abdullah Abdullah ambaye atakuwa afisa mtendaji mkuu.
Kundi...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Sep
Ghani aapishwa rais mpya Afghanistan
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Rais Kikwete aapishwa kuwa mwenyekiti EAC
10 years ago
StarTV03 Jun
Muhamadu Buhari aapishwa kuwa rais wa Nigeria

Buhari ameapishwa kuwa rais wa Nigeria
Mshindi wa uchaguzi mkuu nchini Nigeria Muhamadu Buhari ameapishwa kama rais mpya wa nchi hiyo.

Waziri wa maswala ya kigeni wa Marekani akiwa Abuja
Bwana Buhari ambaye ni kiongozi wa zamani wa kijeshi amechukua uongozi kutoka kwa rais wa zamani Goodluck Jonathan ambaye amemtaka kuiunganisha nchi hiyo wakati inapokabiliana na tisho kutoka kundi la Boko Haram.

Kiongozi wa Ethiopia akiwasili Abuja
Buhari anasema kuwa lengo lake ni kupambana ufisadi ambao...
10 years ago
Michuzi
Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni

9 years ago
GPL
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Rais mpya wa Zambia aapishwa
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rais mpya wa Tanzania aapishwa
9 years ago
Michuzi
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR

