Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool kupata kocha mpya?

Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Jurgen Klopp.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Liverpool ahofia hatma yake

Mkufunzi wa timu ya liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa anakabiliwa na tishio la kufutwa kutokana na msururu wa matokeo mabaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kwesi Appiah kupata uzoefu Liverpool

Kocha wa timu ya taifa ya Ghana ,Kwesi Appiah anazuru klabu ya Liverpool mwezi huu kupata uzoefu

 

9 years ago

Bongo5

Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu. Uamuzi huo wa kumfuta kazi Rodgers ulikuwa umefanyika hata kabla ya mchezo ulioisha kwa suluhu dhidi ya Everton ambao uliwafanya Liverpool wabaki katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi ya England. ”Licha ya kuwa […]

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yapata kocha mpya

Timu ya taifa ya Zambia imepata kocha mpya, Honour Janza baada ya Patrice Beaumelle kuiaga timu hiyo

 

11 years ago

Dewji Blog

Inzaghi Kocha Mpya AC Milan

filippo-inzaghi

 

Filippo Inzaghi.

By Israel Saria

AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.

Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.

Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.

Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wamtega kocha mpya

KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kumpatia mkataba wa miezi sita Kocha wake mpya, Hans Van Der Pluijm, ambaye tayari ameungana na timu hiyo iliyopo nchini Uturuki kujipanga kwa raundi ya...

 

11 years ago

GPL

MAURICIO KOCHA MPYA TOTTENHAM

Kocha mpya wa timu ya Tottenham, Mauricio Pochettin. KLABU ya Tottenham imemthibitisha Mauricio Pochettino kuwa kocha wake mpya Mkuu. Muargentina huyo alijiuzulu nafasi ya ukocha katika klabu ya Southampton, ambako aliwavutia wengi kwa kazi yake nzuri ikiwa ni pamoja na kuinua vipaji vya chipukizi wengi wa England. Pochettino amepewa Mkataba wa miaka mitano White Hart Lane na Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy, kurithi mikoba ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Botswana kumteua kocha mpya

Botwana inatarajiwa kumteua Peter Butler kutoka Uingereza kuwa kocha wake mpya wa timu ya taifa ya soka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani