Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga wamtega kocha mpya

KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kumpatia mkataba wa miezi sita Kocha wake mpya, Hans Van Der Pluijm, ambaye tayari ameungana na timu hiyo iliyopo nchini Uturuki kujipanga kwa raundi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Mzungu wa Ghana kocha mpya Yanga

Hans Van der Pluijm. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mzungu anayefundisha soka nchini Ghana ndiye atakuwa kocha mpya wa Yanga.Hadi jana usiku Yanga ilikuwa ikifanya mazungumzo na makocha wawili yule wa Berekum Chelsea ambaye anajulikana kwa jina la Hans Van der Pluijm na mwingine wa Berekum Arsenal na hukohuko Ghana ambaye hakutajwa jina.…

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA YANGA APEWA MASHARTI

Kocha mkuu wa Yanga  SC, Hans van Der Pluijm. Na Amisa Mmbaga UONGOZI wa Klabu ya Yanga umempa masharti kocha mpya wa timu yao, Hans Van Der Pluijm kuhusu kudhibiti nidhamu ya wachezaji pindi wanapokuwa kambini na uwanjani ili kuweza kukifikisha mbali kikosi hicho. Yanga waliondoka nchini hivi karibuni kuelekea Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Makamu Mwenyekiti...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wamtega DC Arusha

WANANCHI  wa Kata za Mlangarini na Moshono, wamemuweka kiti moto Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongela wakitaka awape jibu ni lini hasa watalipwa fidia ya maeneo yao waliyoyatoa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba wamtega Logarusic

KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Kocha: Yanga haijaiva

KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm amesema timu yake bado haijaiva kiasi cha kuridhika kutetea taji lake la Ligi Kuu hivyo inahitajika marekebisho kidogo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Komorozine aishangaa Yanga

Kocha wa Komorozine, Yadhuddine Chaanbane amesema amekubali kipigo cha mabao 5-2, lakini anashukuru timu yake kucheza katika kiwango kizuri huku Yanga ikicheza soka la chini kuliko ilivyocheza Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Kocha Yanga atangaza anaowatema

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. SIKU chache baada ya kumalizika kwa msimu wa 2013/2014, hatimaye Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm amekamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa uongozi wa timu hiyo. Haruna Niyonzima. Pluijm ambaye…

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm kustaafia Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm yupo mbioni kusaini mkataba mpya na mabingwa hao na kumalizia maisha yake ya ukocha hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani