Kocha Pluijm kustaafia Yanga
Kocha wa Yanga, Hans Pluijm yupo mbioni kusaini mkataba mpya na mabingwa hao na kumalizia maisha yake ya ukocha hapa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.
Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
10 years ago
GPL
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
10 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE


9 years ago
Habarileo11 Nov
Kocha Pluijm ampa nafasi Samatta Ulaya
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kwa kuiwezesha TP Mazembe kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na kumshauri sasa ni wakati wake wa kucheza soka la kulipwa Ulaya.
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.
Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...