Kocha Pluijm ampa nafasi Samatta Ulaya
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kwa kuiwezesha TP Mazembe kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na kumshauri sasa ni wakati wake wa kucheza soka la kulipwa Ulaya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Q0IC036mDoEYIMEP5zW*0nsJ0zA7*M7vH4ogVQXdJqGIZnL7o7c8Hbm2qT5oOFDegDqPJiq6R9pqM-q7DScrIr/hfhh.jpg?width=650)
Pluijm ampa siku 14 Tambwe
9 years ago
Habarileo10 Dec
Tambwe ampa raha Pluijm
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*CsUdTgRfFlgCdh*0otfdsJQ34Ca57ROosPLpAtMOZJ15FyD*EG1*q5EYe3ihFw06EghtGDzky5W64VmQzpGIn/2.gif?width=650)
Pluijm ampa ulaji Mkwasa atimkia Uarabuni
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Logarusic ampa ulaji kocha Yanga
10 years ago
MichuziKibadeni ampa mawaidha Kocha Phiri wa Simba
Kibadeni alisema Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ushindi wao, lakini wanachotakiwa kuzingatia ni kwenye safu hizo mbili ili waweze kuzuia mashambulizi ya wapinzani wao, vinginevyo itawawia ngumu.
"Mechi hiyo itakuwa ngumu kwa...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Kocha Pluijm kustaafia Yanga
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.
Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Ndoto ya Samatta Ulaya shakani
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
NDOTO ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samatta ya kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya, huenda ikayeyuka baada ya mabosi wake kuonyesha nia ya kuboresha mkataba wake.
Samatta alijiunga na Mazembe mwaka 2011 akitokea klabu ya Simba ya Dar es Salaam, kwa mkataba wa miaka mitano unaomalizika Mei, 2016.
Kwa hivi sasa Samatta amekuwa tegemeo katika kikosi cha Mazembe, akiwa ni kati ya wachezaji wanaowania...