Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm ampa ulaji Mkwasa atimkia Uarabuni

Kocha wa Klabu ya Shaola SC, Hans van Der Pluijm. Na Lucy Mgina
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ameiacha timu hiyo na kutimkia Saudi Arabia kwa ajili ya kuwa Kocha Msaidizi wa Klabu ya Shaola SC inayonolewa na Hans van Der Pluijm.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Logarusic ampa ulaji kocha Yanga

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wamemsainisha mkataba wa miezi sita kocha wa zamani wa Berekum Chelsea ya Ghana, Hans Van der Plujim.

 

9 years ago

Habarileo

Tambwe ampa raha Pluijm

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

GPL

Pluijm ampa siku 14 Tambwe

Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
KATIKA kuhakikisha kikosi chake kinafanya vizuri msimu ujao, Kocha wa Yanga, Mdachi, Hans van Der Pluijm, amekuja na mipango mizito ikiwemo ya kutenga siku 14 za kukaa na wachezaji wake nje ya Mji wa Dar es Salaam, siku chache kabla ya kuanza kwa ligi kwa ajili ya kuwapatia ‘silaha’ nzitonzito. Pluijm ameliambia Championi Jumatatu kuwa anajua msimu ujao utakuwa mgumu na utachangamka...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Pluijm ampa nafasi Samatta Ulaya

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amempongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta kwa kuiwezesha TP Mazembe kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na kumshauri sasa ni wakati wake wa kucheza soka la kulipwa Ulaya.

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi

KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.

“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...

 

9 years ago

GPL

MREMBO ATESWA UARABUNI

Stori:imelda mtema MATESO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mrembo Sada Hussein, mkazi wa Tandale kwa Mtogole jijini Dar kupata mateso mazito baada ya kupelekwa Uarabuni nchini Oman kwa lengo la kufanya kazi za ndani, tofauti na matarajio, alijikuta akiteswa vibaya na muajiri wake. Mrembo Sada Hussein, mkazi wa Tandale kwa Mtogole anayedaiwa kuteswa uarabuni. Akizungumzia tukio hilo kwa uchungu, kaka wa msichana huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

JK akatisha ziara ya Pinda Uarabuni

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Walima maparachichi kupatiwa soko Uarabuni

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro amesema anaendelea na jitihada za kutafuta soko kwa matunda aina ya parachichi katika nchi za Mashariki ya Kati ambako mahitaji yake ni makubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani