MAURICIO KOCHA MPYA TOTTENHAM
![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLf-DNfaQ5rsD8z3z*eHNK0U2Ex2W8ESQQi1bROuYJKTzpGjQpXR4MzLvFuhdHXjK8qUgzZSlpDolWI7l20wVyH/MauricioPochettino018.jpg?width=650)
Kocha mpya wa timu ya Tottenham, Mauricio Pochettin. KLABU ya Tottenham imemthibitisha Mauricio Pochettino kuwa kocha wake mpya Mkuu. Muargentina huyo alijiuzulu nafasi ya ukocha katika klabu ya Southampton, ambako aliwavutia wengi kwa kazi yake nzuri ikiwa ni pamoja na kuinua vipaji vya chipukizi wengi wa England. Pochettino amepewa Mkataba wa miaka mitano White Hart Lane na Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy, kurithi mikoba ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham
Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.
Na Rabi Hume
Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.
Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza baada ya kupewa mkataba wa...
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Tottenham yamfukuza kocha Boas
5 years ago
Mirror Online10 Apr
Bruno Fernandes transfer offers insight on Man Utd's plans amid Mauricio Pochettino link
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Liverpool kupata kocha mpya?
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Zambia yapata kocha mpya
11 years ago
BBCSwahili13 Aug
Martino ni kocha mpya Argentina
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Botswana kumteua kocha mpya
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Inzaghi Kocha Mpya AC Milan
Filippo Inzaghi.
By Israel Saria
AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.
Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.
Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.
Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...