Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAURICIO KOCHA MPYA TOTTENHAM

Kocha mpya wa timu ya Tottenham, Mauricio Pochettin. KLABU ya Tottenham imemthibitisha Mauricio Pochettino kuwa kocha wake mpya Mkuu. Muargentina huyo alijiuzulu nafasi ya ukocha katika klabu ya Southampton, ambako aliwavutia wengi kwa kazi yake nzuri ikiwa ni pamoja na kuinua vipaji vya chipukizi wengi wa England. Pochettino amepewa Mkataba wa miaka mitano White Hart Lane na Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy, kurithi mikoba ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham

Tighe-24

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.

Na Rabi Hume

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.

Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza  baada ya kupewa mkataba wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tottenham yamfukuza kocha Boas

Klabu Tottenham imemtimua kocha wake Andre Villas Boas siku moja baada ya Tottenham kupata kichapo cha magoli 5- 0 kutoka Liverpool. o

 

5 years ago

Mirror Online

Bruno Fernandes transfer offers insight on Man Utd's plans amid Mauricio Pochettino link

Bruno Fernandes transfer offers insight on Man Utd's plans amid Mauricio Pochettino link  Mirror OnlineBruno Fernandes reveals Cristiano Ronaldo changed his perception of Manchester United  Manchester Evening NewsRonaldo's transfer to Man Utd fuelled Fernandes' interest in 'dream' move to Old Trafford  GoalJose Mourinho's part in helping Man Utd with Bruno Fernandes  Mirror OnlineBruno Fernandes thanks Man United star for helping him settle  The Sport ReviewView Full coverage on Google...

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool kupata kocha mpya?

Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Jurgen Klopp.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yapata kocha mpya

Timu ya taifa ya Zambia imepata kocha mpya, Honour Janza baada ya Patrice Beaumelle kuiaga timu hiyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Martino ni kocha mpya Argentina

Argentina imemteua aliyekuwa kocha wa Barcelona Gerardo Martino kurithi nafasi yake Alejandro Sabella

 

11 years ago

BBCSwahili

Botswana kumteua kocha mpya

Botwana inatarajiwa kumteua Peter Butler kutoka Uingereza kuwa kocha wake mpya wa timu ya taifa ya soka

 

11 years ago

Dewji Blog

Inzaghi Kocha Mpya AC Milan

filippo-inzaghi

 

Filippo Inzaghi.

By Israel Saria

AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.

Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.

Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.

Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani