Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tottenham yamfukuza kocha Boas

Klabu Tottenham imemtimua kocha wake Andre Villas Boas siku moja baada ya Tottenham kupata kichapo cha magoli 5- 0 kutoka Liverpool. o

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VILLAS-BOAS WA TOTTENHAM ATIMULIWA

Andre Villas-Boas. KOCHA wa Tottenham Hotspur ya Uingereza, Andre Villas-Boas, amefukuzwa kazi jana kwa kile klabu ilichosema “kwa niaba ya maslahi ya pande zote mbili”  na ambapo mwenyekiti wa klabu hiyo, Levy, anaaminika atamtaja kocha mpya hivi karibuni. Andre Villas-Boas amefukuzwa baada ya kipigo kutoka Liverpool cha magoli 5-0 kilichofanyika katika dimba la White Hart Lane. ...

 

10 years ago

Bongo5

Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu. Uamuzi huo wa kumfuta kazi Rodgers ulikuwa umefanyika hata kabla ya mchezo ulioisha kwa suluhu dhidi ya Everton ambao uliwafanya Liverpool wabaki katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi ya England. ”Licha ya kuwa […]

 

11 years ago

GPL

MAURICIO KOCHA MPYA TOTTENHAM

Kocha mpya wa timu ya Tottenham, Mauricio Pochettin. KLABU ya Tottenham imemthibitisha Mauricio Pochettino kuwa kocha wake mpya Mkuu. Muargentina huyo alijiuzulu nafasi ya ukocha katika klabu ya Southampton, ambako aliwavutia wengi kwa kazi yake nzuri ikiwa ni pamoja na kuinua vipaji vya chipukizi wengi wa England. Pochettino amepewa Mkataba wa miaka mitano White Hart Lane na Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy, kurithi mikoba ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham

Tighe-24

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.

Na Rabi Hume

Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.

Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza  baada ya kupewa mkataba wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Villas- Boas kujiunga na St.Petersberg

Baada ya kutimuliwa na Spurs hatimae Andre Villas-Boas anatarajiwa kujiunga na St.Petersburg ya Urusi

 

11 years ago

BBC

Adebayor reveals Villas-Boas row

Tottenham Hotspur's Togolese striker Emmanuel Adebayor reveals the extent of his row with former Spurs manager Andre Villas Boas.

 

10 years ago

Mtanzania

Kamati ya Bunge yamfukuza Magufuli

magufuliPatricia Kimelemeta Jonas Mushi, Dar es Salaam

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imemfukuza Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli baada ya kushindwa kutoa maelezo ya namna Serikali itakavyoweza kulipa madeni ya wakandarasi yanayofikia Sh trilioni moja.

Dk. Magufuli alikumbana na kibano hicho cha kamati hiyo ambayo inaongozwa na Mwenyekiti wake Peter Serukamba, ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini.

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kamati hiyo kiliambia MTANZANIA jana kuwa wakati wa kikao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yamfukuza mwanabalozi wa Rwanda

Serikali ya Burundi imemfurusha afisa wa ubalozi wa Rwanda kwa madai ya kuhujumu usalama nchini humo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano

Untitled 000

Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani. 

Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni Mwalimu wa Mawasiliano na Sera (Communication and Public Policy) University of Maryland University College Washington DC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani