Tottenham yamfukuza kocha Boas
Klabu Tottenham imemtimua kocha wake Andre Villas Boas siku moja baada ya Tottenham kupata kichapo cha magoli 5- 0 kutoka Liverpool. o
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
VILLAS-BOAS WA TOTTENHAM ATIMULIWA
10 years ago
Bongo505 Oct
Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers
11 years ago
GPL
MAURICIO KOCHA MPYA TOTTENHAM
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Kocha mpya wa Aston Villa, Remi Garde aanza kwa kipigo kutoka kwa Tottenham
Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde.
Na Rabi Hume
Kocha mpya wa Aston Villa, Mfaransa Remi Garde ameanza kwa kupokea kipigo katika mchezo wake wa kwanza akiwa kama meneja mpya wa klabu ya Aston Villa baada ya kupokea kipigo cha goli 3 kwa 1 kutoka kwa Totthenham Hotspur katika mchezo wa Ligu kuu ya nchini Wingereza uliochezwa katika uwanja wa White Hate Line.
Garde alipokea kipigo hicho akiwa jukwaani akiutazama mchezo huo ikiwa ni siku moja ya kwanza baada ya kupewa mkataba wa...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Villas- Boas kujiunga na St.Petersberg
11 years ago
BBC
Adebayor reveals Villas-Boas row
10 years ago
Mtanzania05 May
Kamati ya Bunge yamfukuza Magufuli
Patricia Kimelemeta Jonas Mushi, Dar es Salaam
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imemfukuza Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli baada ya kushindwa kutoa maelezo ya namna Serikali itakavyoweza kulipa madeni ya wakandarasi yanayofikia Sh trilioni moja.
Dk. Magufuli alikumbana na kibano hicho cha kamati hiyo ambayo inaongozwa na Mwenyekiti wake Peter Serukamba, ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kamati hiyo kiliambia MTANZANIA jana kuwa wakati wa kikao...
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Burundi yamfukuza mwanabalozi wa Rwanda
11 years ago
Dewji Blog03 May
Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano

Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani.
Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni Mwalimu wa Mawasiliano na Sera (Communication and Public Policy) University of Maryland University College Washington DC.