Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano

Untitled 000

Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani. 

Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni Mwalimu wa Mawasiliano na Sera (Communication and Public Policy) University of Maryland University College Washington DC.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PROFESA BAREGU: MUUNGANO UMEMFUKUZISHA MOYO CCM

NA  MWANDISHI WETU
MTAALAMU wa masuala ya siasa na Uhusiano,  Profesa Mwesiga Baregu (pichani) amesema uamuzi wa kumfukuza katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), muasisi wake, Hassan Nassor Moyo ambaye pia amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi enzi za utawala wa Mwalimu Julius Nyerere, umetokana na msimamo wake kuhusu Muungano.
Profesa Mwesiga Baregu Akizungumza na gazeti hili juzi, Profesa Baregu alisema uamuzi...

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Lipumba akiri muungano ni jambo zuri

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ametaka kuachwa kuingiza misimamo ya vyama bali kuweka mbele maslahi ya taifa wakati wa kujadili katiba na kuhakikisha muungano unalindwa kwa maslahi ya Taifa. Alisema hayo katikati ya wiki mjini hapa katika mahojiano .

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb.) (kushoto) akiingia katika ukumbi wa Deustche Bank uliopo Berlin, Ujerumani kabla ya kuzindua rasmi sherehe za jubilee ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kulia ni balozi wa Tanzania Ujerumani Mhe. Philip Marmo.

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akizungumza na  baadhi ya wajumbe waliohudhuria  sherehe hizo

 Kikundi cha ngoma za sanaa kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania kikitumbuiza  kabla ya kuanza kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano


Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.

 

11 years ago

GPL

KAULI KUHUSU UONGO WA WAZIRI PROFESA MUHONGO

Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika (Mb). Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa kauli za uongo kwa nyakati mbalimbali mwaka 2012 na 2013 ndani na nje ya Bunge kuhusu utafiti na uendelezaji wa gesi asilia. Waziri Muhongo alijibu uongo kwamba hafanyi kazi kwa vyombo vya habari nilipohoji kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge ya kuanzia Novemba 2011 ya kushughulikia ufisadi uliothibitika katika...

 

10 years ago

Mtanzania

Jamhuri imesema uongo kuhusu polisi — Profesa Lipumba

LipumbaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amesema Jamhuri inasema uongo kwamba Jeshi la Polisi liliwanyima kibali cha kuandamana na kwamba akiwa na msafara wa magari alifuatana na wafuasi wake kuelekea Mbagala Zakhem.
Profesa Lipumba anadai si kweli kwamba walifanya maandamano, ispokuwa walipigwa tu wao na wala hawakukamatwa wakiwa katika maandamano.
Alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi,...

 

9 years ago

MillardAyo

Sekunde 40 za katibu wa Yanga akizungumzia kuhusu Niyonzima kusimamishwa (+Audio)

Headlines za soka la Bongo December 17 zilikuwa ni stori za kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayechezea klabu ya Dar Es Salaam Young African Haruna Niyonzima, kuwa klabu ya Yanga kupitia kwa katibu mkuu wake , ambaye ndiye mtendaji mkuu wa Klabu DK Jonas Tiboroha imeamua kumfungia kiungo huyo kwa muda usiowekwa wazi. Amplifaya ya Clouds FM […]

The post Sekunde 40 za katibu wa Yanga akizungumzia kuhusu Niyonzima kusimamishwa (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika Nne za maamuzi ya mwisho ya Yanga kuhusu Niyonzima…..(+Audio)

Leo Dec 28 2015 klabu ya Dar es salaam Young African  imetangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana mchezaji Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, Hapa nakukutanisha na mkuu wa idara ya habari na mawasiliano Jerry Muro akielezea sababu za maamuzi hayo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika […]

The post Dakika Nne za maamuzi ya mwisho ya Yanga kuhusu Niyonzima…..(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani