PROFESA BAREGU: MUUNGANO UMEMFUKUZISHA MOYO CCM
![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq8pRiNhSch*F6oFHRXW7OLmBO4LlcMsIWrckaT86qXDcNvsgegpL-xhlyvVcrfSL*kcDSzRO8GMpDGDGDDA1pIK/Untitled3.jpg?width=650)
NA MWANDISHI WETU MTAALAMU wa masuala ya siasa na Uhusiano, Profesa Mwesiga Baregu (pichani) amesema uamuzi wa kumfukuza katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), muasisi wake, Hassan Nassor Moyo ambaye pia amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi enzi za utawala wa Mwalimu Julius Nyerere, umetokana na msimamo wake kuhusu Muungano. Profesa Mwesiga Baregu Akizungumza na gazeti hili juzi, Profesa Baregu alisema uamuzi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jun
Waaswa kudumisha moyo wa muungano
WATUMISHI waliostaafu katika Ofisi ya Makamu wa Rais wametakiwa kuendelea na moyo wa kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na uhifadhi wa mazingira.
11 years ago
Dewji Blog03 May
Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano
![Untitled 000](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Untitled-000.jpg)
Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani.
Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni Mwalimu wa Mawasiliano na Sera (Communication and Public Policy) University of Maryland University College Washington DC.
11 years ago
Habarileo23 Mar
Profesa Lipumba akiri muungano ni jambo zuri
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ametaka kuachwa kuingiza misimamo ya vyama bali kuweka mbele maslahi ya taifa wakati wa kujadili katiba na kuhakikisha muungano unalindwa kwa maslahi ya Taifa. Alisema hayo katikati ya wiki mjini hapa katika mahojiano .
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eRHOmNEnxEk/U1wpBFn_ROI/AAAAAAAFdNY/KPpSzQGGGTM/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O0DMTGxay18/U1wpBAJ6VqI/AAAAAAAFdNg/0GCOzNN6YxE/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q58iCw9Vf58/U1wpBPtzSwI/AAAAAAAFdNc/uSoWgqjTlv4/s1600/unnamed+(21).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z7kr8UcMEW8/XnXbVQFdfHI/AAAAAAALkoY/RgpzvmlCkwIRFb2U0loZLaUKhYXdImJwwCLcBGAsYHQ/s72-c/Prof.-Mohamed-Y.-Janabi_300_300shar-50brig-20_c1.jpg)
ALICHOKISEMA MKURUGENZI TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE PROFESA MOHAMED JANAB KUHUSU HATARI YA UGONJWA WA CORONA NA USHAURI WAKE KWA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z7kr8UcMEW8/XnXbVQFdfHI/AAAAAAALkoY/RgpzvmlCkwIRFb2U0loZLaUKhYXdImJwwCLcBGAsYHQ/s400/Prof.-Mohamed-Y.-Janabi_300_300shar-50brig-20_c1.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
WAKATI Dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona( COVID-19) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Profesa Mohame Janab amewaambia Watanzania kuwa kwasasa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine kwa kuepuka mikusanyiko, mikutano,send of na harusi huku akifafanua ugonjwa huo ni hatari na hauwezi kulinganishwa na aina nyingine ya mafua au ugonjwa wowote.
Kupitia taarifa yake ambayo...
10 years ago
VijimamboProfesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano
Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PjtcdmWVDDA/default.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Apr
Nassor Moyo afukuzwa CCM
MWANASIASA mkongwe na kada wa CCM aliyepata kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwaziri, Mzee Hassan Nassor Moyo amefukuzwa uanachama wa chama hicho ambacho yeye ni mmoja wa waasisi wake, akiwa mwanachama namba 7.
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Mzee Moyo afukuzwa CCM
NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemfukuza uanachama mmoja wa waasisi wa chama hicho Visiwani, Mzee Hassan Nassor Moyo.
Hatua hiyo ilitangazwa jana na Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini hapa.
Mapuri alisema Mzee Moyo anadaiwa kukisaliti chama hicho kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chao.
Alisema Mzee Moyo alitumia majukwaa ya siasa katika mikutano...