Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROFESA BAREGU: MUUNGANO UMEMFUKUZISHA MOYO CCM

NA  MWANDISHI WETU
MTAALAMU wa masuala ya siasa na Uhusiano,  Profesa Mwesiga Baregu (pichani) amesema uamuzi wa kumfukuza katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), muasisi wake, Hassan Nassor Moyo ambaye pia amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi enzi za utawala wa Mwalimu Julius Nyerere, umetokana na msimamo wake kuhusu Muungano.
Profesa Mwesiga Baregu Akizungumza na gazeti hili juzi, Profesa Baregu alisema uamuzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waaswa kudumisha moyo wa muungano

 Samia Suluhu HassanWATUMISHI waliostaafu katika Ofisi ya Makamu wa Rais wametakiwa kuendelea na moyo wa kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na uhifadhi wa mazingira.

 

11 years ago

Dewji Blog

Audio ya mahijiano na Profesa Boas kuhusu muungano

Untitled 000

Profesa Boas akiwa na Cheif wa swahilivilla Abou Shatry baada ya Mahojiano siku ya Ijumaa Mei 2, 2014 Maryland Nchini Marekani. 

Sikiliza Audio ya Mahojiano kuhusu Muungano na Profesa Boas ambaye ni Mwalimu wa Mawasiliano na Sera (Communication and Public Policy) University of Maryland University College Washington DC.

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Lipumba akiri muungano ni jambo zuri

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ametaka kuachwa kuingiza misimamo ya vyama bali kuweka mbele maslahi ya taifa wakati wa kujadili katiba na kuhakikisha muungano unalindwa kwa maslahi ya Taifa. Alisema hayo katikati ya wiki mjini hapa katika mahojiano .

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA UJERUMANI, PROFESA MUHONGO MGENI RASMI

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb.) (kushoto) akiingia katika ukumbi wa Deustche Bank uliopo Berlin, Ujerumani kabla ya kuzindua rasmi sherehe za jubilee ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kulia ni balozi wa Tanzania Ujerumani Mhe. Philip Marmo.

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akizungumza na  baadhi ya wajumbe waliohudhuria  sherehe hizo

 Kikundi cha ngoma za sanaa kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania kikitumbuiza  kabla ya kuanza kwa...

 

5 years ago

Michuzi

ALICHOKISEMA MKURUGENZI TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE PROFESA MOHAMED JANAB KUHUSU HATARI YA UGONJWA WA CORONA NA USHAURI WAKE KWA WATANZANIA


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii


WAKATI Dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona( COVID-19) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Profesa Mohame Janab amewaambia Watanzania kuwa kwasasa kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa huo ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine kwa kuepuka mikusanyiko, mikutano,send of na harusi huku akifafanua ugonjwa huo ni hatari na hauwezi kulinganishwa na aina nyingine ya mafua  au ugonjwa wowote.

Kupitia taarifa yake ambayo...

 

10 years ago

Vijimambo

Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano


Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.

 

10 years ago

Habarileo

Nassor Moyo afukuzwa CCM

Mzee Hassan Nassour Moyo.MWANASIASA mkongwe na kada wa CCM aliyepata kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwaziri, Mzee Hassan Nassor Moyo amefukuzwa uanachama wa chama hicho ambacho yeye ni mmoja wa waasisi wake, akiwa mwanachama namba 7.

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Moyo afukuzwa CCM

hassan-nassor-moyoNA SARAH MOSSI, ZANZIBAR

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemfukuza uanachama mmoja wa waasisi wa chama hicho Visiwani, Mzee Hassan Nassor Moyo.

Hatua hiyo ilitangazwa jana na Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini hapa.

Mapuri alisema Mzee Moyo anadaiwa kukisaliti chama hicho kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chao.

Alisema Mzee Moyo alitumia majukwaa ya siasa katika mikutano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani