Waaswa kudumisha moyo wa muungano
WATUMISHI waliostaafu katika Ofisi ya Makamu wa Rais wametakiwa kuendelea na moyo wa kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na uhifadhi wa mazingira.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q9Oc7I13l4c/Uxmn2kTQWRI/AAAAAAACbys/VPsMrhmTE3c/s72-c/dddddd.jpg)
Watanzania waaswa kudumisha na kuuenzi muungano.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q9Oc7I13l4c/Uxmn2kTQWRI/AAAAAAACbys/VPsMrhmTE3c/s1600/dddddd.jpg)
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai .
(Na Jovina Bujulu, MAELEZO DODOMA). Muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ni jambo la kujivunia kwa watanzania wote na katika bara la Afrika.
Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai wakati wa mahojiano katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC ONE.
Mh. Ndugai ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema kuwa jambo la Muhimu...
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUDUMISHA AMANI
Na...
11 years ago
Habarileo19 Apr
Mwinyi asisitiza kudumisha muungano
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mchungaji ahimiza viongozi kudumisha Muungano
VIONGOZI nchini wamehimizwa kutimiza wajibu wao wa kutendea taifa haki kwa kudumisha Muungano, amani na mshikamano na kulipatia katiba bora, inayotokana na maoni ya wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Watanzania wahimizwa kudumisha, kuuenzi Muungano
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Alhaji Mohamed Sinani, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano kwa masilahi ya taifa ikiwa ni njia pekee ya kuwaenzi waasisi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s72-c/unnamed+(75).jpg)
WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F9XK9NsGpPU/U0JbhaNoerI/AAAAAAAFZJA/Jvsr55XoHWU/s1600/unnamed+(76).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s72-c/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZXR5sma9c1M/VhDKV4nr7gI/AAAAAAAAH8M/Hf54Tz9JhQY/s320/Dr%2BManoj%2BAgarwal.jpg)
Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq8pRiNhSch*F6oFHRXW7OLmBO4LlcMsIWrckaT86qXDcNvsgegpL-xhlyvVcrfSL*kcDSzRO8GMpDGDGDDA1pIK/Untitled3.jpg?width=650)
PROFESA BAREGU: MUUNGANO UMEMFUKUZISHA MOYO CCM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...