Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waaswa kudumisha moyo wa muungano

 Samia Suluhu HassanWATUMISHI waliostaafu katika Ofisi ya Makamu wa Rais wametakiwa kuendelea na moyo wa kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na uhifadhi wa mazingira.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Watanzania waaswa kudumisha na kuuenzi muungano.


















Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai .
(Na Jovina Bujulu, MAELEZO DODOMA).   Muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ni jambo la kujivunia kwa watanzania wote na katika bara la Afrika.
Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai wakati wa mahojiano katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC ONE.
Mh. Ndugai ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema kuwa jambo la Muhimu...

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA WAASWA KUDUMISHA AMANI

 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma akimvisha kofia ya ukamanda Profesa Peter Msolla baada ya kuteuliwa kuwa Kamanda wa UVCCM wilaya ya Kilolo sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Kidabaga.  Mbunge wa jimbo la Kilolo,Profesa Peter Msola akila kiapo cha kuwa kamanda wa UVccm mbele ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma. Mbunge wa jimbo la Kilolo,Prof Peter Msola akiwaapisha makamanda wa vijana ccm katika wilaya ya Kilolo sherehezz ilizofanyika katika uwanja wa Kidabaga.
Na...

 

11 years ago

Habarileo

Mwinyi asisitiza kudumisha muungano

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.

 

11 years ago

Habarileo

Mchungaji ahimiza viongozi kudumisha Muungano

VIONGOZI nchini wamehimizwa kutimiza wajibu wao wa kutendea taifa haki kwa kudumisha Muungano, amani na mshikamano na kulipatia katiba bora, inayotokana na maoni ya wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wahimizwa kudumisha, kuuenzi Muungano

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Alhaji Mohamed Sinani, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano kwa masilahi ya taifa ikiwa ni njia pekee ya kuwaenzi waasisi...

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO


 Mwenyekiti mpya Suleiman Serera akishikana mkono na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Bw. Daninga Philip. Wengine katika picha ni uongozi mzima wa Watanzania wasomao Beijing.   Mwenyekiti aliyemaliza muda wake wa Umoja wa wanafunzi wanaosoma Beijing, China (TzBeijing ) Bw.Philip Daninga akiongea na wanachama wa umoja huo muda mfupi kabla ya zoezi la kupiga kura lililofanyika mwishoni mwa wiki hii kwenye Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania, China. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Bw....

 

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAASWA KUZINGATIA AFYA BORA YA MOYO

Dkt. Manoj Kumar Agarwala, Mshauri Mwandamizi na Mtaalamu wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Moyo katika Hospitali ya Apollo Hyderabad.



Na Mwandishi Wetu,Dar Es Salaam, Oktoba 2015:IkiwazimepitasikutatutokakuhadhimishwasikuyaMoyodunianimwakahuu, Watanzaniawameshauriwakufanyamaamuzibinafsikatikakujaliafyayamoyo. KaulimbiuyaSikuyaMoyodunianimwaka2015 inahusukuchaguaafyabora yamoyokwakilamtunakilamahali. Piainalengakuonyeshamatokeoambayomazingirayetuyanawezakuletajuuyauwezowetuwakufanyamaamuzi...

 

10 years ago

GPL

PROFESA BAREGU: MUUNGANO UMEMFUKUZISHA MOYO CCM

NA  MWANDISHI WETU
MTAALAMU wa masuala ya siasa na Uhusiano,  Profesa Mwesiga Baregu (pichani) amesema uamuzi wa kumfukuza katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), muasisi wake, Hassan Nassor Moyo ambaye pia amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi enzi za utawala wa Mwalimu Julius Nyerere, umetokana na msimamo wake kuhusu Muungano.
Profesa Mwesiga Baregu Akizungumza na gazeti hili juzi, Profesa Baregu alisema uamuzi...

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani