Mchungaji ahimiza viongozi kudumisha Muungano
VIONGOZI nchini wamehimizwa kutimiza wajibu wao wa kutendea taifa haki kwa kudumisha Muungano, amani na mshikamano na kulipatia katiba bora, inayotokana na maoni ya wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jan
Shein ahimiza Wazanzibari kudumisha amani
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu na kuepuka mifarakano inayoweza kuligawa taifa.
11 years ago
Habarileo19 Apr
Mwinyi asisitiza kudumisha muungano
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.
11 years ago
Habarileo28 Jun
Waaswa kudumisha moyo wa muungano
WATUMISHI waliostaafu katika Ofisi ya Makamu wa Rais wametakiwa kuendelea na moyo wa kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na uhifadhi wa mazingira.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q9Oc7I13l4c/Uxmn2kTQWRI/AAAAAAACbys/VPsMrhmTE3c/s72-c/dddddd.jpg)
Watanzania waaswa kudumisha na kuuenzi muungano.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q9Oc7I13l4c/Uxmn2kTQWRI/AAAAAAACbys/VPsMrhmTE3c/s1600/dddddd.jpg)
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai .
(Na Jovina Bujulu, MAELEZO DODOMA). Muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ni jambo la kujivunia kwa watanzania wote na katika bara la Afrika.
Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai wakati wa mahojiano katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC ONE.
Mh. Ndugai ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema kuwa jambo la Muhimu...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Watanzania wahimizwa kudumisha, kuuenzi Muungano
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Alhaji Mohamed Sinani, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano kwa masilahi ya taifa ikiwa ni njia pekee ya kuwaenzi waasisi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s72-c/unnamed+(75).jpg)
WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F9XK9NsGpPU/U0JbhaNoerI/AAAAAAAFZJA/Jvsr55XoHWU/s1600/unnamed+(76).jpg)
9 years ago
VijimamboKAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR AWATAKA VIONGOZI WA SIASA NA WANANCHI KUDUMISHA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA KAMPENI
10 years ago
Habarileo13 Jan
Ahimiza viongozi wa dini kuombea Taifa
WAKATI Taifa likielekea katika kura ya maoni ya Katiba Mpya na Uchaguzi Mkuu, viongozi wa dini nchini wametakiwa kutumia muda wao kuliombea taifa kuwa na amani na kulivusha salama katika matukio hayo makubwa.
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mchungaji: Tusichague viongozi kwa itikadi za siasa
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KANISA la Babtist Tanzania limesema katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu Watanzania wanatakiwa kuchagua kiongozi mwenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kuangalia itikadi, kabila wala dini yake.
Kauli hiyo ilitolewa na Mwangalizi Mkuu wa Makanisa ya Babtist Tanzania, Mchungaji Anord Manase, wakati alipofungua kongamano la wanawake wa Kibabtisti nchini lililofanyika Chuo Kikuu cha Mount Meru wilayani Arumeru mkoani hapa.
Akizungumza katika...