Mwinyi asisitiza kudumisha muungano
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jun
Waaswa kudumisha moyo wa muungano
WATUMISHI waliostaafu katika Ofisi ya Makamu wa Rais wametakiwa kuendelea na moyo wa kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na uhifadhi wa mazingira.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q9Oc7I13l4c/Uxmn2kTQWRI/AAAAAAACbys/VPsMrhmTE3c/s72-c/dddddd.jpg)
Watanzania waaswa kudumisha na kuuenzi muungano.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q9Oc7I13l4c/Uxmn2kTQWRI/AAAAAAACbys/VPsMrhmTE3c/s1600/dddddd.jpg)
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai .
(Na Jovina Bujulu, MAELEZO DODOMA). Muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ni jambo la kujivunia kwa watanzania wote na katika bara la Afrika.
Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Job Ndugai wakati wa mahojiano katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha TBC ONE.
Mh. Ndugai ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema kuwa jambo la Muhimu...
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mchungaji ahimiza viongozi kudumisha Muungano
VIONGOZI nchini wamehimizwa kutimiza wajibu wao wa kutendea taifa haki kwa kudumisha Muungano, amani na mshikamano na kulipatia katiba bora, inayotokana na maoni ya wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Watanzania wahimizwa kudumisha, kuuenzi Muungano
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Alhaji Mohamed Sinani, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano kwa masilahi ya taifa ikiwa ni njia pekee ya kuwaenzi waasisi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s72-c/unnamed+(75).jpg)
WATANZANIA WASOMAO BEIJING CHINA WACHAGUANA, WAWEKA MIKAKATI YA KUDUMISHA MUUNGANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-d6-y7zI6uHs/U0JbgIdgm9I/AAAAAAAFZIw/L9BP5KI4VJ8/s1600/unnamed+(75).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F9XK9NsGpPU/U0JbhaNoerI/AAAAAAAFZJA/Jvsr55XoHWU/s1600/unnamed+(76).jpg)
11 years ago
Habarileo20 Apr
Makongoro asisitiza Muungano utadumu
LICHA ya `chokochoko’ dhidi ya Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, mmoja wa watoto wa Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere amewataka Watanzania kutokuwa na chembe ya hofu ya kuvunjika kwa Muungano huo, akisema utaendelea kudumu kwa kuwa ni wa wananchi na si wanasiasa.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Balozi Idd asisitiza Muungano kutovunjika
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao umedumu kwa muda wa miaka 51, kamwe hautovunjika kwa sababu wananchi wa pande mbili wamejenga mahusiano makubwa ya damu kwa miaka mingi.
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s72-c/unnamed.jpg)
Muungano bado uko imara - Mzee Mwinyi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lAPPkHv6ZlY/U1Ec7q3FN-I/AAAAAAAFbrw/Ng27EJ3xv_4/s1600/unnamedf.jpg)