Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makongoro asisitiza Muungano utadumu

Makongoro Nyerere LICHA ya `chokochoko’ dhidi ya Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, mmoja wa watoto wa Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere amewataka Watanzania kutokuwa na chembe ya hofu ya kuvunjika kwa Muungano huo, akisema utaendelea kudumu kwa kuwa ni wa wananchi na si wanasiasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwinyi asisitiza kudumisha muungano

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Idd asisitiza Muungano kutovunjika

Balozi Seif Ali IddiMAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao umedumu kwa muda wa miaka 51, kamwe hautovunjika kwa sababu wananchi wa pande mbili wamejenga mahusiano makubwa ya damu kwa miaka mingi.

 

9 years ago

Habarileo

Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.

 

9 years ago

Raia Mwema

Bila mipango makini, ‘uendawazimu’ utadumu

NYOTA wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Hendrick Johannes Cruijiff, maarufu kama Johan Cruy

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

TheCitizen

Makongoro ex-president’s son who may become one

On Monday the son of the father of the Nation and Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro announced his bid to succeed President Jakaya Kikwete as the United Republic of Tanzania sixth President.

 

10 years ago

Mtanzania

Makongoro Nyerere achafua hewa

MBIO za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.
Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.
MAKONGORO
Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Makongoro, Muhongo wageukia ubunge

>Baraka Mkama, Marwa Mbeu, Reuben Mulemwa, Tungaraza Njugu, Boniphace Magesa, Jonas Mgoka, Masatu Kyabwene, Fedinarnd Chiguma na Chilagwile Zacharia, Profesa Sospeter Muhongo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwaya ya Makongoro yatia fora

Maudhui ya wimbo uitwao ‘Chezea Pengine’ yanayokosoa viongozi wasiojali wananchi yaliamsha shangwe kutoka kwa wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani