Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mbowe aitahadharisha CCM kuhusu Serikali Tatu
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Kundecha: Muungano ni dhamira, hauwezi kuvunjwa na serikali tatu
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu
TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...
11 years ago
Habarileo19 Apr
Mwinyi asisitiza kudumisha muungano
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.
11 years ago
Habarileo20 Apr
Makongoro asisitiza Muungano utadumu
LICHA ya `chokochoko’ dhidi ya Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, mmoja wa watoto wa Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere amewataka Watanzania kutokuwa na chembe ya hofu ya kuvunjika kwa Muungano huo, akisema utaendelea kudumu kwa kuwa ni wa wananchi na si wanasiasa.
10 years ago
Habarileo08 Apr
Balozi Idd asisitiza Muungano kutovunjika
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao umedumu kwa muda wa miaka 51, kamwe hautovunjika kwa sababu wananchi wa pande mbili wamejenga mahusiano makubwa ya damu kwa miaka mingi.
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Samia: Kero tatu za muungano hazijatekelezwa
Na Jonas Mushi na Tunu Nassor, Dar es Salaam.
LICHA ya kutimiza miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, imeelezwa mambo matatu bado hayajatekelezwa ndani ya muungano.
Mambo hayo, ni pamoja na masuala ya kodi, mahusiano ya kifedha na usajili wa vyombo vya moto.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano), Samia Suluhu Hassan alisema pamoja na mafanikio ya Muungano bado mambo hayo hayajapata ufumbuzi wa kudumu kwa...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Waziri-Kero za Muungano zabaki tatu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kero za Muungano zimebakia tatu baada ya kufanyiwa kazi kwa lengo la kujenga muungano imara.