Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundecha: Muungano ni dhamira, hauwezi kuvunjwa na serikali tatu

Bunge Maalumu la Katiba linaendelea kujadili Sura ya kwanza na sita za Rasimu, huku likiwa limemeguka, kufuatia baadhi ya wajumbe wake kulisusa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano

>Katibu mtendaji wa Tume ya Marekebisho ya Sheria, Japhet Sagasii amesema serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu

TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ina dhamira ya kumaliza foleni Dar?

Kwa siku mbili mfululizo gazeti hili limechapisha habari maalumu jinsi foleni za magari jijini Dar es Salaam zilivyofikia kiwango cha kutisha na kusababisha madhara makubwa kiuchumi, kijamii na kiafya, ikiwamo magonjwa ya akili.

 

11 years ago

GPL

TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012. Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3, Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI INA DHAMIRA YA DHATI KUONDOA UZEMBE NA UBADHILIFU MIONGONI MWA WATUMISHI-MHE HASUNGA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo katika ukumbi wa TPRI Jijini Arusha, leo tarehe 16 Machi 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo katika ukumbi wa TPRI Jijini Arusha, leo tarehe 16 Machi 2020.

Waziri wa Kilimo...

 

10 years ago

Mtanzania

Samia: Kero tatu za muungano hazijatekelezwa

Bi.-Samia-SuluhuNa Jonas Mushi na Tunu Nassor, Dar es Salaam.
LICHA ya kutimiza miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, imeelezwa mambo matatu bado hayajatekelezwa ndani ya muungano.
Mambo hayo, ni pamoja na masuala ya kodi, mahusiano ya kifedha na usajili wa vyombo vya moto.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano), Samia Suluhu Hassan alisema pamoja na mafanikio ya Muungano bado mambo hayo hayajapata ufumbuzi wa kudumu kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Waziri-Kero za Muungano zabaki tatu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kero za Muungano zimebakia tatu baada ya kufanyiwa kazi kwa lengo la kujenga muungano imara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani