Kundecha: Muungano ni dhamira, hauwezi kuvunjwa na serikali tatu
Bunge Maalumu la Katiba linaendelea kujadili Sura ya kwanza na sita za Rasimu, huku likiwa limemeguka, kufuatia baadhi ya wajumbe wake kulisusa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu
TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Serikali ina dhamira ya kumaliza foleni Dar?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIqJWnCVKMo8DcvpUZ8XXQLFkehyusPUUcLPrngyBIiYZY59ngCyS1Vk8SgutDZo1BsERYVBu9rJjMapI98zw3t/IKULU.png?width=650)
TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
11 years ago
Michuzi25 Mar
5 years ago
MichuziSERIKALI INA DHAMIRA YA DHATI KUONDOA UZEMBE NA UBADHILIFU MIONGONI MWA WATUMISHI-MHE HASUNGA
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Samia: Kero tatu za muungano hazijatekelezwa
Na Jonas Mushi na Tunu Nassor, Dar es Salaam.
LICHA ya kutimiza miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, imeelezwa mambo matatu bado hayajatekelezwa ndani ya muungano.
Mambo hayo, ni pamoja na masuala ya kodi, mahusiano ya kifedha na usajili wa vyombo vya moto.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano), Samia Suluhu Hassan alisema pamoja na mafanikio ya Muungano bado mambo hayo hayajapata ufumbuzi wa kudumu kwa...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Waziri-Kero za Muungano zabaki tatu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kero za Muungano zimebakia tatu baada ya kufanyiwa kazi kwa lengo la kujenga muungano imara.