NEWS ALERT: Tangazo La Serikali - Kuvunjwa Kwa Tume Ya Mabadiliko Ya Katiba
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIqJWnCVKMo8DcvpUZ8XXQLFkehyusPUUcLPrngyBIiYZY59ngCyS1Vk8SgutDZo1BsERYVBu9rJjMapI98zw3t/IKULU.png?width=650)
TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012. Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3, Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-asuCk-VGCIc/UvJK9Vtpl3I/AAAAAAAFLAw/76XDIsDXTzI/s72-c/New+Picture+(8).bmp)
NEWS ALERT: IGP MANGU AFANYA MABADILIKO KWA BAADHI YA MIKOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-asuCk-VGCIc/UvJK9Vtpl3I/AAAAAAAFLAw/76XDIsDXTzI/s1600/New+Picture+(8).bmp)
Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi mwandamizi (SACP) Deusdedit Nsimeki anayekwenda kuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Aliyekuwa kamanda wa Polisi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS_AGWOg2TU/VFaKSIQeXlI/AAAAAAAGvF8/qy3vHAWfgLo/s72-c/IMG-20141102-WA0010.jpg)
NEWS ALERT: Mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba wavunjika kwa tafrani kubwa
Tafrani kubwa imezuka jioni ya leo wakati wa Mdahalo uliondaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliokuwa ukifanyika kwenye Ukumbi wa hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
11 years ago
Habarileo26 Mar
Rais avunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba
RAIS Jakaya Kikwete amevunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, baada ya tume hiyo kumaliza kazi iliyopewa na kukabidhi Rasimu ya Katiba kwa Bunge Maalumu.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Tovuti Tume ya Mabadiliko ya Katiba ifunguliwe- Wito
Wakazi wa Jiji la Arusha wameiomba Serikali kuifungua tovuti ya iliyokuwa ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwawezesha Watanzania kuisoma na kuifahamu rasimu ya pili ya mabadiliko ya Katiba na viambatanisho vyake.
11 years ago
GPLUFAFANUZI KUTOKA IKULU KUHUSU TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Gazeti la Raia Mwema lililotoka leo, Jumanne, Aprili 2, 2014, limeandika habari zisizokuwa za kweli chini ya kichwa cha habari : “Warioba: Ikulu imetutupia viragoâ€. Habari hiyo inamkariri aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mheshimiwa Jaji Joseph Warioba akidai kuwa Tume yake ilifukuzwa kazi, kwamba haikupewa muda wa kuandaa na kuwasilisha nyaraka za kukabidhi ofisi na madaraka na kwamba wajumbe wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania