Rais avunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba
RAIS Jakaya Kikwete amevunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, baada ya tume hiyo kumaliza kazi iliyopewa na kukabidhi Rasimu ya Katiba kwa Bunge Maalumu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAJUMBE WA ILIYOKUWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, SERENA JIJINI DAR ES SALAAM

11 years ago
Mwananchi05 Sep
Tovuti Tume ya Mabadiliko ya Katiba ifunguliwe- Wito
Wakazi wa Jiji la Arusha wameiomba Serikali kuifungua tovuti ya iliyokuwa ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwawezesha Watanzania kuisoma na kuifahamu rasimu ya pili ya mabadiliko ya Katiba na viambatanisho vyake.
11 years ago
GPLUFAFANUZI KUTOKA IKULU KUHUSU TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Gazeti la Raia Mwema lililotoka leo, Jumanne, Aprili 2, 2014, limeandika habari zisizokuwa za kweli chini ya kichwa cha habari : “Warioba: Ikulu imetutupia viragoâ€. Habari hiyo inamkariri aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mheshimiwa Jaji Joseph Warioba akidai kuwa Tume yake ilifukuzwa kazi, kwamba haikupewa muda wa kuandaa na kuwasilisha nyaraka za kukabidhi ofisi na madaraka na kwamba wajumbe wa...
11 years ago
GPL
TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012. Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3, Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya...
11 years ago
Michuzi25 Mar
11 years ago
Michuzi12 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania