Muungano bado uko imara - Mzee Mwinyi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi akipokea maelezo kutoka kwa Afisa wa Bunge Bwana Patson Sobha, wakati alipowasili kwenye Banda la Bunge la maonesho ya maadhisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yanayoendelea katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Maonesho hayo yatakayofikia kilele siku ya Jumamosi Aprili 19, ikiwa ni maandalizi ya siku kuu ya Muungano ambayo huherekewa Aprili 26 kila mwaka.
Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi akikabidhiwa zawadi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qnaijNW4Vwc/VH1aZ71-t0I/AAAAAAAAUWo/TDnIcRahgQc/s72-c/19.jpg)
ZIARA YA KINANA YADHIHIRISHA CCM BADO IPO IMARA MIKOA YA KUSINI
ZIARA YA KINANA MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAINGIZA WANACHAMA ZAIDI YA 40,000 CCM MKUTANO WA HADHARA MTWARA MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qnaijNW4Vwc/VH1aZ71-t0I/AAAAAAAAUWo/TDnIcRahgQc/s1600/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ubJW2WZ8-0g/VH1clHu3dMI/AAAAAAAAUXU/jMT4Uz06AI4/s1600/5.jpg)
11 years ago
Habarileo19 Apr
Mwinyi asisitiza kudumisha muungano
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio ya Muungano huo na kuacha ukiwa imara.
11 years ago
Habarileo14 Dec
Mzee Mwinyi aguswa uhaba wa madaktari
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameelezea kuguswa na tatizo la uhaba mkubwa wa wataalamu katika fani ya udaktari hasa vijijini, hali aliyosema inachangia kuwapo kwa changamoto kubwa katika utoaji wa huduma katika sekta ya afya.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s72-c/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi
![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s640/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 May
‘Happy Birthday’ Mzee Mwinyi, afikisha miaka 90
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mzee Mwinyi ahimiza Watanzania kujiunga PSPF
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa Watanzania ambao hawapo katika sekta rasmi, kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS), ulioanzishwa na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) kwa ajili ya manufaa yao ya baadaye.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gqQt2LK3rIs/default.jpg)