Mzee Mwinyi aguswa uhaba wa madaktari
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameelezea kuguswa na tatizo la uhaba mkubwa wa wataalamu katika fani ya udaktari hasa vijijini, hali aliyosema inachangia kuwapo kwa changamoto kubwa katika utoaji wa huduma katika sekta ya afya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 Dec
Uhaba wa madaktari Vijijini, AJUCO Songea kuanzisha Chuo.
Na Adam Nindi,
Songea.
Chuo Kikuu Kishiriki cha Mtakatifu Agustino AJUCO kilichopo Peramiho Songea Vijijini mkoani Ruvuma kimedhamiria kuondoa changamoto ya kukosa madaktari vijijini kwa kuanzisha Chuo cha Udaktari ambacho wahitimu wake watafanya kazi vijijini.
Mkuu wa Chuo hicho Padri Faustine Kamugisha amesema asilimia 80 ya watanzania wanaoishi vijijini hawana madaktari wakati asilimia 35 ya wananchi wanaoishi mijini ndio wanapata huduma za Madaktari.
Padri Kamugisha amesema Baraza...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Tanzania yakabiliwa uhaba wa madaktari wa vichwa vikubwa
TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa wataalam wa upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo kwa sasa ina madaktari watano ambao wanazunguka katika hospitali za rufaa nchini kutibu....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s72-c/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi
![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s640/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vVfATLlyzm4/VTmuLhNx1XI/AAAAAAAAIPY/YD55I_RhIvU/s72-c/Snapshot(65).jpg)
Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVfATLlyzm4/VTmuLhNx1XI/AAAAAAAAIPY/YD55I_RhIvU/s1600/Snapshot(65).jpg)
KARIBU
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mzee Mwinyi mgeni rasmi Maulid Dar
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi leo atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za Maulidi Kimkoa, Dar es Salaam zinazofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s72-c/unnamed.jpg)
Muungano bado uko imara - Mzee Mwinyi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lAPPkHv6ZlY/U1Ec7q3FN-I/AAAAAAAFbrw/Ng27EJ3xv_4/s1600/unnamedf.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mzee Mwinyi ahimiza Watanzania kujiunga PSPF
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa Watanzania ambao hawapo katika sekta rasmi, kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS), ulioanzishwa na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) kwa ajili ya manufaa yao ya baadaye.
10 years ago
Mwananchi08 May
‘Happy Birthday’ Mzee Mwinyi, afikisha miaka 90