Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhaba wa madaktari Vijijini, AJUCO Songea kuanzisha Chuo.

Na Adam Nindi,

Songea.

 

Chuo Kikuu Kishiriki cha Mtakatifu Agustino AJUCO kilichopo Peramiho Songea Vijijini mkoani Ruvuma kimedhamiria kuondoa changamoto ya kukosa madaktari vijijini kwa kuanzisha Chuo cha Udaktari ambacho wahitimu wake watafanya kazi vijijini.

 

Mkuu wa Chuo hicho Padri Faustine Kamugisha amesema asilimia 80 ya watanzania wanaoishi vijijini hawana madaktari wakati asilimia 35 ya wananchi wanaoishi mijini ndio wanapata huduma za Madaktari.

 

Padri Kamugisha amesema Baraza...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mzee Mwinyi aguswa uhaba wa madaktari

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameelezea kuguswa na tatizo la uhaba mkubwa wa wataalamu katika fani ya udaktari hasa vijijini, hali aliyosema inachangia kuwapo kwa changamoto kubwa katika utoaji wa huduma katika sekta ya afya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yakabiliwa uhaba wa madaktari wa vichwa vikubwa

TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa wataalam wa upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo kwa sasa ina madaktari watano ambao wanazunguka katika hospitali za rufaa nchini kutibu....

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali ya ACT-Wazalendo kuanzisha wakala wa maji vijijini

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Rais wa awamu ya tano atakayetokana na chama hicho ataanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya majisafi na salama.

 

11 years ago

GPL

ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea zawadi mara alipowasili katika Chuo cha Mafunzo ya Amali kiitwacho Tilonia, Wilaya ya  Ajmer Jimbo la Rajastan akiwa  katika siku ya pili ya ziara yake nchni India pamoja na ujumbe aliofuatana nao.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Affani Othman Maalim (kulia) kwa niaba ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar… ...

 

9 years ago

Bongo5

Super Nyamwela kuanzisha chuo cha dansi

Muimbaji na mnenguaji mkongwe wa muziki wa dansi, Hassan Musa aka Super Nyamwela amesema ana ndoto ya kufungua kituo cha kutoa mafunzo ya kucheza muziki. Akiongea na E-Newz Nyamwela amesema utaratibu maalum wa wale wote wenye ndoto za kujiendeleza kupitia dansi utawekwa wazi hivi karibuni kwa gharama ambazo watazimudu. Amedai lengo lake ni kuipeleka mbali […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA kuanzisha chuo cha madereva, makondakta

SEKTA ya usafirishaji nchini inatarajiwa kuingia katika mfumo mpya wa kisasa ambako madereva, makondakta pamoja na wahudumu wengine katika sekta hiyo kusomea fani hizo kabla ya kuingia katika ajira rasmi...

 

10 years ago

Habarileo

Chuo Kikuu cha St. John’s kuanzisha mfuko wa Ufadhili

CHUO Kikuu cha St. John’s cha mjini hapa kitaanzisha mfuko wa ufadhili wa wanafunzi kwa ajili ya kusaidia sehemu ya gharama kwa wanafunzi wenye sifa wasio na uwezo wa kujilipia ada na wasiopata fedha za Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Madaktari wa Marekani wawafunda wanachuo wa Chuo Afya Zanzibar

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar Ndg. Adila Hilal Vuai, akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari Diaspora kutoka Washington walioletwa na Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Washington  wakali walipofika katika Chuo cha Elimu ya Afya Zanzibar walipofika hapo kutowa Elimu ya Afya ya Saratani ya Matiti na Mano, wakiwa Zanzibar kwa uwenyeji wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).

Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg....

 

10 years ago

Michuzi

CHUO CHA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR KUANZISHA MASOMO YA CHETI PEMBA

NA RAMADHANI ALI-MAELEZO
CHUO cha Uongozi wa Fedha Zanzibar (ZIFA) kitaanzisha Tawi lake Kisiwani Pemba kuanzia mwaka huu  wa masomo na kitaanza kufundisha  masomo ya   uongozi wa fedha ngazi ya cheti.
Akizungumza na waandishi wa Habari Makao Makauu ya ZIFA Chwaka, Kaimu Mkuu wa Taaluma Dkt. Iddi Salum Haji amesema wameamua kufungua Tawi  Pemba ili kuzipunguzia gharama  familia zenye  kipato cha chini.
Amesema utafiti uliofanywa na Chuo  umegundua  kuna vijana wengi Kisiwani Pemba waliomaliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani