Mzee Mwinyi ahimiza Watanzania kujiunga PSPF
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa Watanzania ambao hawapo katika sekta rasmi, kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS), ulioanzishwa na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) kwa ajili ya manufaa yao ya baadaye.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nx03ocxbc1U/XrVjLB0fSCI/AAAAAAALpfg/no6Ws3gz4uwOPydcdJU3ePRpvDbuvaIpwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
MZEE ALI HASSAN MWINYI ATIMIZA MIAKA 95, WATANZANIA WAMUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AZIDI KUMPA AFYA NJEMA
LEO Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi anasherehekea siku yake ya luzaliwa kwa kufikisha umri wa miaka 95 akiwa mwenye afya njema.
Watanzania wa kada mbalimbali wamempongeza mzee Mwinyi kwa kufikisha umri huo huku wakiendelea kumuombea kwa Mwenyezi Mungu azidi kumpa afya njema na maisha marefu.Mzee Mwinyi ambaye ameliongoza Taifa la Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Pili ameendelea kuwa Rais mwenye kupendwa na kukumbukwa na hasa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oTermGYzfNI/VViib95482I/AAAAAAAATrQ/QcSPKS6whBw/s72-c/f1.jpg)
FLAVIANA MATATA AONGOZA MAMIA YA WANAMITINDO WA BONGO KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-oTermGYzfNI/VViib95482I/AAAAAAAATrQ/QcSPKS6whBw/s640/f1.jpg)
11 years ago
Habarileo14 Dec
Mzee Mwinyi aguswa uhaba wa madaktari
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi ameelezea kuguswa na tatizo la uhaba mkubwa wa wataalamu katika fani ya udaktari hasa vijijini, hali aliyosema inachangia kuwapo kwa changamoto kubwa katika utoaji wa huduma katika sekta ya afya.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s72-c/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi
![](http://2.bp.blogspot.com/-blHF9qgvWyI/VUwfSTbsemI/AAAAAAAAImo/256JN_FkEr4/s640/Alhaj%2BA.%2BH.%2BMwinyi.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 May
‘Happy Birthday’ Mzee Mwinyi, afikisha miaka 90
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s72-c/unnamed.jpg)
Muungano bado uko imara - Mzee Mwinyi
![](http://1.bp.blogspot.com/-uOP8wYE5ScM/U1Ec7hAv8aI/AAAAAAAFbrs/1JaDoDF-xO8/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lAPPkHv6ZlY/U1Ec7q3FN-I/AAAAAAAFbrw/Ng27EJ3xv_4/s1600/unnamedf.jpg)