Ahimiza viongozi wa dini kuombea Taifa
WAKATI Taifa likielekea katika kura ya maoni ya Katiba Mpya na Uchaguzi Mkuu, viongozi wa dini nchini wametakiwa kutumia muda wao kuliombea taifa kuwa na amani na kulivusha salama katika matukio hayo makubwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Feb
Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.
11 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa
WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.
11 years ago
Habarileo03 Aug
Viongozi wa dini wahimizwa kuombea Bunge la Katiba
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher ole Sendeka amewaomba viongozi wa dini, kuliombea Bunge la Katiba ili kusaidia kupatikana kwa Katiba bora itakayowaongoza Watanzania katika maisha yao ya kila siku.
11 years ago
Habarileo16 Jul
Viongozi wa dini waunga mkono hoja ya kuombea Bunge
KIONGOZI wa Jumuiya ya Ahamadiyya Mkoa wa Dodoma na Singida Bashart ur Rehman Butt ameunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kutaka viongozi wa dini kuombea Bunge la Katiba ili liweze kuendelea.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Viongozi wa dini: Taifa linahitaji ukarabati
BAADHI ya maaskofu, wachungaji na wainjilisti kutoka madhehebu mbalimbali ya dini wameelezea hali ya siasa nchini na kusema kuwa taifa linahitaji kukarabatiwa. Hayo yalisema mbele ya waandishi wa habari Dar...
9 years ago
Michuzi20 Aug
Mkutano wa Tume ya Taifa Ya Uchaguzi na Viongozi wa Dini
10 years ago
Habarileo17 Aug
Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya
MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gwo4-GJfrtM/XlFGOkgh5EI/AAAAAAALe1M/HEwwAelSgBorpZgpIOwAYAqILeklngnCACLcBGAsYHQ/s72-c/84964047-2bfe-41b8-a1cb-d4ac20957042.jpg)
"NAOMBA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUUNGANA KULIOMBEA TAIFA MWAKA HUU WA UCHAGUZI" MHE. MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gwo4-GJfrtM/XlFGOkgh5EI/AAAAAAALe1M/HEwwAelSgBorpZgpIOwAYAqILeklngnCACLcBGAsYHQ/s640/84964047-2bfe-41b8-a1cb-d4ac20957042.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mhe Freeman Mbowe (Mb), ametoa ombi maalum kwa Mtume na Nabii Josephat Mwingira kuungana na Viongozi wengine wa kiroho kutoka dini zote kuliombea taifa katika mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu.
Mhe. Mbowe ameyasema hayo kwenye ibada maalum ya kuombea na kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa baba wa Nabii na Mtume wa Kanisa la Huduma ya Efatha, Josephat Mwingira, Mzee Elias Mwingira, leo Jumamosi 22 Februari 2020, Kwa Mathias, Kibaha mkoani Pwani.
"Ombi langu maalum kwako...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s72-c/8.jpg)
REBECA MALOPE AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA,NGELEJA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULIOMBEA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-De9BJ8_G-EI/U2ZdErlU-tI/AAAAAAAFfSw/v_5ymg-nYok/s1600/9.jpg)