Viongozi wa dini: Taifa linahitaji ukarabati
BAADHI ya maaskofu, wachungaji na wainjilisti kutoka madhehebu mbalimbali ya dini wameelezea hali ya siasa nchini na kusema kuwa taifa linahitaji kukarabatiwa. Hayo yalisema mbele ya waandishi wa habari Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Jan
Ahimiza viongozi wa dini kuombea Taifa
WAKATI Taifa likielekea katika kura ya maoni ya Katiba Mpya na Uchaguzi Mkuu, viongozi wa dini nchini wametakiwa kutumia muda wao kuliombea taifa kuwa na amani na kulivusha salama katika matukio hayo makubwa.
9 years ago
Michuzi20 Aug
Mkutano wa Tume ya Taifa Ya Uchaguzi na Viongozi wa Dini
10 years ago
Habarileo07 Feb
Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.
11 years ago
Habarileo27 Dec
Makamba: Taifa linahitaji uponyaji
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Januari Makamba, ametaka viongozi wa dini kuwa makini na wasaka uongozi kwa kuwa Taifa linahitaji uponyaji kwa changamoto zinazolikabili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gwo4-GJfrtM/XlFGOkgh5EI/AAAAAAALe1M/HEwwAelSgBorpZgpIOwAYAqILeklngnCACLcBGAsYHQ/s72-c/84964047-2bfe-41b8-a1cb-d4ac20957042.jpg)
"NAOMBA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUUNGANA KULIOMBEA TAIFA MWAKA HUU WA UCHAGUZI" MHE. MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gwo4-GJfrtM/XlFGOkgh5EI/AAAAAAALe1M/HEwwAelSgBorpZgpIOwAYAqILeklngnCACLcBGAsYHQ/s640/84964047-2bfe-41b8-a1cb-d4ac20957042.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mhe Freeman Mbowe (Mb), ametoa ombi maalum kwa Mtume na Nabii Josephat Mwingira kuungana na Viongozi wengine wa kiroho kutoka dini zote kuliombea taifa katika mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu.
Mhe. Mbowe ameyasema hayo kwenye ibada maalum ya kuombea na kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa baba wa Nabii na Mtume wa Kanisa la Huduma ya Efatha, Josephat Mwingira, Mzee Elias Mwingira, leo Jumamosi 22 Februari 2020, Kwa Mathias, Kibaha mkoani Pwani.
"Ombi langu maalum kwako...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s72-c/8.jpg)
REBECA MALOPE AWAKUNA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA,NGELEJA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULIOMBEA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I688u-2vLV4/U2ZdDxad4_I/AAAAAAAFfS0/tMYChEP6xHc/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-De9BJ8_G-EI/U2ZdErlU-tI/AAAAAAAFfSw/v_5ymg-nYok/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KGv67HHQdy8/VDvpxEcVu-I/AAAAAAAGp0Q/R3I-7z1yNY8/s72-c/MMGM0298.jpg)
TASWIRA MBALI MBALI ZA MCHEZO WA VIONGOZI WA DINI ULIOCHEZWA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-KGv67HHQdy8/VDvpxEcVu-I/AAAAAAAGp0Q/R3I-7z1yNY8/s1600/MMGM0298.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Uw2L5WA4v3w/VDvpxMQm3CI/AAAAAAAGp0U/HNkg9542r1I/s1600/MMGM0300.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...