Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamba: Taifa linahitaji uponyaji

Januari MakambaNAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Januari Makamba, ametaka viongozi wa dini kuwa makini na wasaka uongozi kwa kuwa Taifa linahitaji uponyaji kwa changamoto zinazolikabili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini: Taifa linahitaji ukarabati

BAADHI ya maaskofu, wachungaji na wainjilisti kutoka madhehebu mbalimbali ya dini wameelezea hali ya siasa nchini na kusema kuwa taifa linahitaji kukarabatiwa. Hayo yalisema mbele ya waandishi wa habari Dar...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ofa’ ya Makamba yaamsha ‘mabadiliko’ Uwanja wa Taifa

Pamoja na Serikali kuzuia kutumia Uwanja wa Taifa kwa shughuli za kisiasa, eneo hilo jana liligeuka uwanja wa kampeni, baada ya mbunge wa Bumbuli (CCM) January Makamba kuruhusu mashabiki walioko nje waingie uwanjani bure.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ofa’ ya Makamba yaamsha ‘shangwe za UKAWA’ Uwanja wa Taifa

Makamba aruhusu washabiki uwanja wa taifa kwenye mechi ya Taifa stars na Nigeria lakini wakamgeukia kuanza kutumia sherehe za UKAWA.

The post Ofa’ ya Makamba yaamsha ‘shangwe za UKAWA’ Uwanja wa Taifa appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Suala la kusimama mita 200 linahitaji busara

Serikali, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyama vya siasa, hasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) viko kwenye mzozo mkubwa wa wapi wananchi wanatakiwa wasimame baada ya kupiga kura Oktoba 25.

 

10 years ago

Mwananchi

January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro

Wagombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wametoa maoni yao kwa kupitishwa katika tano bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani