Dakika Nne za maamuzi ya mwisho ya Yanga kuhusu Niyonzima…..(+Audio)
Leo Dec 28 2015 klabu ya Dar es salaam Young African imetangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana mchezaji Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, Hapa nakukutanisha na mkuu wa idara ya habari na mawasiliano Jerry Muro akielezea sababu za maamuzi hayo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika […]
The post Dakika Nne za maamuzi ya mwisho ya Yanga kuhusu Niyonzima…..(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video)
Rapper wa kike mrembo kabisa Nicki Minaj anakuwa mmoja ya mastaa wa Marekani na mastaa wakubwa Duniani waliogonga vichwa vya habari kwa kufanya show za nguvu kwenye nchi za Africa. Mzigo mzima wa Nicki Minaj ulikuwa ni Angola weekend iliyopita na hapa nina kipande cha video kuanzia Nicki anatua Airport, show yake kwenye stage, na […]
The post Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga
10 years ago
Mwananchi14 Mar
UDHAIFU: Dakika 45 za mwisho zaiua Yanga SC
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q73WDuzNqy0/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio)
Headlines za soka la kimataifa kwa sasa ni kuhusu uongozi wa klabu ya Chelsea kuamua kumuachisha kazi Jose Mourinho, taarifa ambazo zilitoka mchana wa December 17. Kila mtu kaongea lake ila AMPLIFAYA ya Clouds FM iliwatafuta wachambuzi na waandishi wa habari za michezo Edo Kumwembe na Saleh Ally kuhusu uamuzi wa Chelsea kumfuta kazi ni uamuzi […]
The post Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Sekunde 40 za katibu wa Yanga akizungumzia kuhusu Niyonzima kusimamishwa (+Audio)
Headlines za soka la Bongo December 17 zilikuwa ni stori za kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayechezea klabu ya Dar Es Salaam Young African Haruna Niyonzima, kuwa klabu ya Yanga kupitia kwa katibu mkuu wake , ambaye ndiye mtendaji mkuu wa Klabu DK Jonas Tiboroha imeamua kumfungia kiungo huyo kwa muda usiowekwa wazi. Amplifaya ya Clouds FM […]
The post Sekunde 40 za katibu wa Yanga akizungumzia kuhusu Niyonzima kusimamishwa (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y-GPpI9TpGY/VSActpCMNpI/AAAAAAAAIKg/E_EBwifzIv4/s72-c/540713_575288382532985_608605125_n.png)
[AUDIO] Dakika 90 za dunia..Uchaguzi Nigeria
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y-GPpI9TpGY/VSActpCMNpI/AAAAAAAAIKg/E_EBwifzIv4/s1600/540713_575288382532985_608605125_n.png)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TGFvciLWObw/U0kH-zhQMmI/AAAAAAAAG6k/yjNY7hPD2eI/s72-c/rwanda-e1396504262883-680x365.jpg)
[AUDIO]. DAKIKA 90 ZA DUNIA: Maadhimisho ya Kwibuka20, Washington DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-TGFvciLWObw/U0kH-zhQMmI/AAAAAAAAG6k/yjNY7hPD2eI/s1600/rwanda-e1396504262883-680x365.jpg)