[AUDIO]. DAKIKA 90 ZA DUNIA: Maadhimisho ya Kwibuka20, Washington DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-TGFvciLWObw/U0kH-zhQMmI/AAAAAAAAG6k/yjNY7hPD2eI/s72-c/rwanda-e1396504262883-680x365.jpg)
Wiki kama hii, miaka 20 iliyopita, nchi ya Rwanda ilishuhudia kuanza kwa mauaji ambayo kwa siku 99 zilizofuata, yaliacha historia mbaya na ambayo itaendelea kukumbukwa na vizazi vijavyo.
Ndani ya siku 100, watu wanaokadiriwa kufika milioni 1 waliuawa katika mauaji ya kimbari.
Miaka 20 baadaye (mwaka huu), dunia nzima imeungana na Rwanda kukumbuka kile ambacho wengi wanaona kuwa kilitokea na kuachwa kuendelea kutokana na Jumuiya ya kimataifa kutoingilia kati na kutoa msaada muafaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y-GPpI9TpGY/VSActpCMNpI/AAAAAAAAIKg/E_EBwifzIv4/s72-c/540713_575288382532985_608605125_n.png)
[AUDIO] Dakika 90 za dunia..Uchaguzi Nigeria
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y-GPpI9TpGY/VSActpCMNpI/AAAAAAAAIKg/E_EBwifzIv4/s1600/540713_575288382532985_608605125_n.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s06svizQjQs/VDj567gndxI/AAAAAAAAHeE/xY3Ic-QqVoQ/s72-c/Dicota%2Bconvention%2B2014.jpg)
[AUDIO]: DAKIKA 90 ZA DUNIA. Kumalizika kwa mkutano wa DICOTA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-s06svizQjQs/VDj567gndxI/AAAAAAAAHeE/xY3Ic-QqVoQ/s1600/Dicota%2Bconvention%2B2014.jpg)
Mwenzangu Mubelwa Bandio, anayo taarifa kamili.
![](http://3.bp.blogspot.com/-q5CHeyAJPgw/VDj564ah6wI/AAAAAAAAHeI/KUEv2z9ah48/s1600/Bandio%2BBahati.png)
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Dakika Nne za maamuzi ya mwisho ya Yanga kuhusu Niyonzima…..(+Audio)
Leo Dec 28 2015 klabu ya Dar es salaam Young African imetangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana mchezaji Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, Hapa nakukutanisha na mkuu wa idara ya habari na mawasiliano Jerry Muro akielezea sababu za maamuzi hayo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika […]
The post Dakika Nne za maamuzi ya mwisho ya Yanga kuhusu Niyonzima…..(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Vijimambo22 Aug
Dakika 15 za Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye alivyotangaza kujiunga UKAWA.. (+Audio)
![UKAWA II](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/08/UKAWA-II.jpg?resize=509%2C286)
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio)
Ukitaja list ya mastaa wa rap ambao waliwahi kufanya vizuri TZ toka kipindi ambacho game ya Bongo fleva ilianza kushika, huwezi kuacha jina la Black Rhino. Unaikumbuka ‘Usipime‘ ?!! Au unakumbuka ile michano ya kwenye ‘Chagua Moja‘ ya Fid Q ?!! Basi huyu ndio Black Rhino kwenye ukali wake, kaja na ngoma nyingine ambayo imetambulishwa […]
The post Dakika tatu za kumsikiliza rapper Black Rhino kwenye ngoma mpya,- ‘Time ya Kumeki Doo’ (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio)
Headlines za soka la kimataifa kwa sasa ni kuhusu uongozi wa klabu ya Chelsea kuamua kumuachisha kazi Jose Mourinho, taarifa ambazo zilitoka mchana wa December 17. Kila mtu kaongea lake ila AMPLIFAYA ya Clouds FM iliwatafuta wachambuzi na waandishi wa habari za michezo Edo Kumwembe na Saleh Ally kuhusu uamuzi wa Chelsea kumfuta kazi ni uamuzi […]
The post Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio) appeared first on...
10 years ago
MichuziMaadhimisho ya SIKU YA AFRIKA yafanyika Washington DC
HABARI ZAIDI...
11 years ago
Michuzi14 Apr
Video and audio : IFC - CRDB Bank Signing Ceremony Program Washington DC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
VIDEO AND AUDIO: IFC - CRDB BANK SIGNING CEREMONY PROGRAM WASHINGTON DC