Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu. Uamuzi huo wa kumfuta kazi Rodgers ulikuwa umefanyika hata kabla ya mchezo ulioisha kwa suluhu dhidi ya Everton ambao uliwafanya Liverpool wabaki katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi ya England. ”Licha ya kuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza Meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?

Kocha wa klabu ya Liverpool, England Brendan Rodgers amesema yupo tayari kuondoka iwapo wamiliki watamtaka kufanya hivyo.

 

5 years ago

Mirror Online

Brendan Rodgers explains exactly why Raheem Sterling left Liverpool for Man City

Brendan Rodgers explains exactly why Raheem Sterling left Liverpool for Man City  Mirror Online“Better than Mane”: Twitter reacts as Sterling refuses to rule out Liverpool  Rousing the KopOpinion: Liverpool have outgrown Raheem Sterling – there’s no need to bring him back  CaughtOffsideSteven Gerrard was right about Raheem Sterling and Jordan Henderson at Liverpool  Liverpool Echo£180m star admits Liverpool love, probably wouldn’t get game  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicView Full...

 

9 years ago

Mtanzania

Brendan Rodgers kibarua chake matatani

brendan rodgersLIVERPOOL, ENGLAND

BAADA ya Liverpool kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Norwich City, mashabiki wamemtaka bosi wa klabu hiyo kumfukuza
kocha wao Brendan Rodgers. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo miwili kati ya sita iliyocheza
huku ikitoa sare miwili na kufungwa miwili.

Katika mchezo wa jana Liverpool ilikuwa nyumbani na kutoka sare dhidi ya klabu ambayo imepanda daraja msimu huu, hivyo mashabiki wa klabu hiyo wamemtumia ujumbe bosi wa klabu hiyo John Henry, kupitia akaunti yake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tottenham yamfukuza kocha Boas

Klabu Tottenham imemtimua kocha wake Andre Villas Boas siku moja baada ya Tottenham kupata kichapo cha magoli 5- 0 kutoka Liverpool. o

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkosi wamwandama Brendan,Liverpool

Kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers yupo kwenye wakati mgumu baada ya kushindwa kutwaa taji lolote.

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE TFF YAMFUKUZA KAZI MAART NOOIJ

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu.
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo; 1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015.
2. Benchi lote la...

 

10 years ago

TheCitizen

Liverpool now clicking into gear, says Rodgers

Brendan Rodgers claimed Liverpool are hitting top gear at the right time as they booked their place in the FA Cup quarter-finals.

 

11 years ago

Mwananchi

Rodgers ainyima taji Liverpool

>Kocha wa Liverpool, Brendan Rodgers amesema klabu  yake itasubiri kwa msimu mwingine zaidi kabla ya kuingia  katika nafasi ya kutwaa ubingwa wa England.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani