Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers
Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu. Uamuzi huo wa kumfuta kazi Rodgers ulikuwa umefanyika hata kabla ya mchezo ulioisha kwa suluhu dhidi ya Everton ambao uliwafanya Liverpool wabaki katika nafasi ya kumi katika msimamo wa ligi ya England. ”Licha ya kuwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool
10 years ago
BBCSwahili25 May
Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?
5 years ago
Mirror Online26 Mar
Brendan Rodgers explains exactly why Raheem Sterling left Liverpool for Man City
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Brendan Rodgers kibarua chake matatani
LIVERPOOL, ENGLAND
BAADA ya Liverpool kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Norwich City, mashabiki wamemtaka bosi wa klabu hiyo kumfukuza
kocha wao Brendan Rodgers. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo miwili kati ya sita iliyocheza
huku ikitoa sare miwili na kufungwa miwili.
Katika mchezo wa jana Liverpool ilikuwa nyumbani na kutoka sare dhidi ya klabu ambayo imepanda daraja msimu huu, hivyo mashabiki wa klabu hiyo wamemtumia ujumbe bosi wa klabu hiyo John Henry, kupitia akaunti yake...
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Tottenham yamfukuza kocha Boas
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkosi wamwandama Brendan,Liverpool
10 years ago
GPLHATIMAYE TFF YAMFUKUZA KAZI MAART NOOIJ
10 years ago
TheCitizen16 Feb
Liverpool now clicking into gear, says Rodgers
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Rodgers ainyima taji Liverpool