Brendan Rodgers kibarua chake matatani
LIVERPOOL, ENGLAND
BAADA ya Liverpool kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Norwich City, mashabiki wamemtaka bosi wa klabu hiyo kumfukuza
kocha wao Brendan Rodgers. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo miwili kati ya sita iliyocheza
huku ikitoa sare miwili na kufungwa miwili.
Katika mchezo wa jana Liverpool ilikuwa nyumbani na kutoka sare dhidi ya klabu ambayo imepanda daraja msimu huu, hivyo mashabiki wa klabu hiyo wamemtumia ujumbe bosi wa klabu hiyo John Henry, kupitia akaunti yake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 May
Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool
9 years ago
Bongo505 Oct
Liverpool yamfukuza kazi kocha wao Brendan Rodgers
5 years ago
Mirror Online26 Mar
Brendan Rodgers explains exactly why Raheem Sterling left Liverpool for Man City
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Van Gaal apewa michezo miwili kulinda kibarua chake
MANCHESTER, ENGLAND
KOCHA wa klabu ya Manchester United, Louis van Gaal, amepewa michezo miwili ya kufanya vizuri ili kuweza kulinda ajira yake ndani ya timu hiyo.
Baada ya Manchester United kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Norwich kwenye uwanja wa nyumbani katika michuano ya Ligi Kuu, bodi ya klabu hiyo ilikaa na kuchunguza maendeleo ya klabu hiyo ambapo wamepanga kumpa michezo miwili.
Endapo kocha huyo atashindwa kufanya vizuri katika michezo huyo, basi ataungana na Jose Mourinho,...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United
Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...
11 years ago
Bongo524 Jul
Kocha mpya wa Man U, Van Gaal aanza vizuri kibarua chake, waiadhibu Angeles Galaxy 7-0
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DlMViUVGo1A/VK5HgTy6zwI/AAAAAAACVUc/Ck5JNiPZrPk/s72-c/032.jpg)
BALOZI IDDI AZINDUA UKUMBI WA MIKUTANO WA MAKONYO CHAKE CHAKE PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DlMViUVGo1A/VK5HgTy6zwI/AAAAAAACVUc/Ck5JNiPZrPk/s640/032.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hCO5Govssfs/VK5Hhjcf74I/AAAAAAACVUk/CZVJSn7M26Q/s640/975.jpg)
10 years ago
VijimamboJENGO SKULI MPYA YA MICHAKAINI WILAYA YA CHAKE CHAKE YAFUNGULIWA RASMI