Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal apewa michezo miwili kulinda kibarua chake

van-gaalMANCHESTER, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Manchester United, Louis van Gaal, amepewa michezo miwili ya kufanya vizuri ili kuweza kulinda ajira yake ndani ya timu hiyo.

Baada ya Manchester United kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Norwich kwenye uwanja wa nyumbani katika michuano ya Ligi Kuu, bodi ya klabu hiyo ilikaa na kuchunguza maendeleo ya klabu hiyo ambapo wamepanga kumpa michezo miwili.

Endapo kocha huyo atashindwa kufanya vizuri katika michezo huyo, basi ataungana na Jose Mourinho,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United

Wayne-Rooney

Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...

 

11 years ago

Bongo5

Kocha mpya wa Man U, Van Gaal aanza vizuri kibarua chake, waiadhibu Angeles Galaxy 7-0

Kocha mpya wa Manchester United, Louis van Gaal ameanza vizuri kibarua chake cha kukinoa kikosi hicho baada ya kupata ushindi wa goli 7-0 dhidi ya Los Angeles Galaxy katika mchezo wa kirafiki uliochezwa nchini Marekani. Man U walionekana kucheza soka la kuelewana zaidi ambapo mpaka wanakwenda mapumziko walikuwa wakiongoza mabao matatu kwa sifuri. Katika kipindi […]

 

9 years ago

Mtanzania

Brendan Rodgers kibarua chake matatani

brendan rodgersLIVERPOOL, ENGLAND

BAADA ya Liverpool kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Norwich City, mashabiki wamemtaka bosi wa klabu hiyo kumfukuza
kocha wao Brendan Rodgers. Klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo miwili kati ya sita iliyocheza
huku ikitoa sare miwili na kufungwa miwili.

Katika mchezo wa jana Liverpool ilikuwa nyumbani na kutoka sare dhidi ya klabu ambayo imepanda daraja msimu huu, hivyo mashabiki wa klabu hiyo wamemtumia ujumbe bosi wa klabu hiyo John Henry, kupitia akaunti yake...

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tunataka kushinda ligi

Manchester United bado ina matumaini ya kushinda ligi ya Uingereza msimu huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Van Gaal aanza kazi Manchester

Louis van Gaal amewasili rasmi kama kocha wa Manchester United na kuanza kazi hiyo juzi akiwa katika uwanja wa mazoezi wa timu hiyo kwa mara ya kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani