Van Gaal aanza kazi Manchester
Louis van Gaal amewasili rasmi kama kocha wa Manchester United na kuanza kazi hiyo juzi akiwa katika uwanja wa mazoezi wa timu hiyo kwa mara ya kwanza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Van Gaal aanza kuwaza ubingwa
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Van Gaal aanza kukata tamaa ya ubingwa
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Van Gaal aanza kwa kishindo Man United
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Manchester United ‘wamkuna’ Van Gaal
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United
Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImVWISxAHDZ44HD0KBzqIr*rDeGmgqk1xva*mI2LQEtHqc*NRX6x-6GjPqRBn1-x*LB46ZkdLt-T2-nl38dKqVF/GAAL_1513996a.jpg)
LOUIS VAN GAAL KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Ukali wa Van Gaal wamtisha Pedro kutua Manchester Utd
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-r_M1ANEk6I4/Vf6e1YCaLmI/AAAAAAAADjE/-0Za7fpleVU/s72-c/pep-guardiola.jpg)
MANCHESTER UNITED EYEING PEP GUARDIOLA AS THE REPLACEMENT OF LOUIS VAN GAAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-r_M1ANEk6I4/Vf6e1YCaLmI/AAAAAAAADjE/-0Za7fpleVU/s1600/pep-guardiola.jpg)
Club legend Ryan Giggs had been expected to take over when the Dutchman's deal expires in 2017 but the Bayern boss is on their radar for NEXT summerLouis van Gaal has confirmed that he WILL walk away from Manchester United in 2017.The 64-year-old Dutchman, who signed a three-year contract when he arrived at Old Trafford last summer, insists he will not be reversing his decision to retire in 18 months’ time.But while Van Gaal is grooming his No 2 Ryan Giggs to be the next Old Trafford...