Van Gaal aanza kukata tamaa ya ubingwa
Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amesema kitendo cha timu yake kukubali sare ya bao 1-1 na Aston Villa juzi ni pigo katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Van Gaal aanza kuwaza ubingwa
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Van Gaal:Tutanyakua ubingwa wa ligi
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Van Gaal aanza kazi Manchester
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Van Gaal aanza kwa kishindo Man United
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United
Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
11 years ago
Bongo524 Jul
Kocha mpya wa Man U, Van Gaal aanza vizuri kibarua chake, waiadhibu Angeles Galaxy 7-0
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Unaweza kujizuia kukata tamaa?