Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unaweza kujizuia kukata tamaa?

Unapofika mwisho wa mwaka, wengi tumezoea kutumiana salamu na kutakiana heri ya Mwaka Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Je, unaweza kuishinda tabia ya tamaa?

Je, wewe ni miongoni mwa watu wenye tamaa? Kama wewe huna tamaa, je, una ndugu au rafiki mwenye tamaa? Je, unafikiri tamaa ni tabia nzuri au mbaya?

 

11 years ago

Mwananchi

Si wakati wa Taifa Stars kukata tamaa

Wiki moja iliyopita, timu ya taifa ya soka, Taifa Stars ilicheza mechi ya kwanza ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika (CAN 2015) dhidi ya Msumbiji na kutoka sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Miriam Mauki: Mwanamke hapaswi kukata tamaa

NI kati ya wanamama wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa injili pamoja na ujasiriamali. Mwanamama huyu hodari asiyekata tamaa kutokana na kazi anazozifanya amekuwa mfano wa kuigwa kwa juhudi...

 

10 years ago

Mwananchi

Van Gaal aanza kukata tamaa ya ubingwa

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amesema kitendo cha timu yake kukubali sare ya bao 1-1 na Aston Villa juzi ni pigo katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu.

 

10 years ago

GPL

BAJAJ YENYE WITO KWA WALIMWENGU WENYE KUKATA TAMAA

Bajaj ikiwa na ujumbe wenye kuhamasisha watu kutokata tamaa. MTANDAO wetu leo ‘umeifuma’ Bajaj yenye wito murua kwa walimwengu wenye kukata tamaa.  Wito wenyewe ulioandikwa kwenye chombo hicho cha moto maeneo ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam ni:  “ONYO: NI MARUFUKU KUKATA TAMAA..!” (Habari/Picha na Gabriel Ng’osha/GPL) ...

 

9 years ago

Vijimambo

HATA WEWE UNAWEZA KUWA KAMA DULLAH USIKATE TAMAA!!

Hiyu ni Dulla Starfitness wa Brooklyn. NY  ndoto zake kuwa bingwa wa NPC Brooklyn Grand Prix, katika mashindano yaliyo fanyika mwezi wa kumi  Dulla aliingia kwenye top 5. Sasa anajifua zaidi hili atimize ndoto zake za kuwa champion wa Bikini and Physique kwenye mashindano yanayokuja.
Mashindano yaliyopita akiwa na vazi la ufukweni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ashindwa kujizuia kula 'Tissue'

Mama mwenye watoto watano, ameelezea kuwa yeye hula karatasi nzima ya msalani au Tissue kila siku, uraibu ambao ameshindwa kabisa kuuacha

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani