Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miriam Mauki: Mwanamke hapaswi kukata tamaa

NI kati ya wanamama wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa injili pamoja na ujasiriamali. Mwanamama huyu hodari asiyekata tamaa kutokana na kazi anazozifanya amekuwa mfano wa kuigwa kwa juhudi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mambo 10 ambayo mwanamke hapaswi kumficha daktari

Kwa kawaida, mgonjwa anatakiwa kumwambia daktari ukweli kuhusu matatizo yake yote ya kiafya ili aweze kusaidiwa kupata tiba sahihi. Daktari naye kwa upande wake, hana budi kuwa mkweli kwa mgonjwa, japokuwa kuna wakati madaktari hujikuta katika wakati mgumu kuwaambia wagonjwa wao mambo ambayo wanahisi kuwa yatawasababishia hofu, kihoro, huzuni, kukata tamaa na kupoteza matumaini.

 

10 years ago

Mwananchi

Unaweza kujizuia kukata tamaa?

Unapofika mwisho wa mwaka, wengi tumezoea kutumiana salamu na kutakiana heri ya Mwaka Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Si wakati wa Taifa Stars kukata tamaa

Wiki moja iliyopita, timu ya taifa ya soka, Taifa Stars ilicheza mechi ya kwanza ya michuano ya kuwania kufuzu kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika (CAN 2015) dhidi ya Msumbiji na kutoka sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Gaal aanza kukata tamaa ya ubingwa

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amesema kitendo cha timu yake kukubali sare ya bao 1-1 na Aston Villa juzi ni pigo katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu.

 

10 years ago

GPL

BAJAJ YENYE WITO KWA WALIMWENGU WENYE KUKATA TAMAA

Bajaj ikiwa na ujumbe wenye kuhamasisha watu kutokata tamaa. MTANDAO wetu leo ‘umeifuma’ Bajaj yenye wito murua kwa walimwengu wenye kukata tamaa.  Wito wenyewe ulioandikwa kwenye chombo hicho cha moto maeneo ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam ni:  “ONYO: NI MARUFUKU KUKATA TAMAA..!” (Habari/Picha na Gabriel Ng’osha/GPL) ...

 

10 years ago

Michuzi

Criss Mauki, Jokate Mwegelo, Siza Ma-MC Siku Ya Msanii

BALOZI wa Redd’s Jokate Mwegelo, Dk. Criss Mauki wametangazwa kuwa washehereheshaji katika maadhimisho ya Siku Ya Msanii Tanzania yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones alisema kutakuwa na washehereheshaji watatu katika siku hiyo ambapo Criss, Jokate wataungana na MC mwingine Siza Daniel katika kupendezesha shughuli hiyo.  “Tulikuwa na idadi kubwa ya watu ambao walitajwa ili wawe...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Chris Mauki aja na libeneke lake jipya

Mdau Chris Mauki ameibuka na libeneke lake zuri kabisa lenye lengo la kuwahabarisha wadau kuhusu masuala ya saikolojia, familia, mahusiano, na malezi pindi upatapo nafasi ya kutembelea Libeneke lolote lile,basi usisite kutia baraka katika libeneke la Mdau Chris Mauki ili upate uhondo kwa kubofya hiyo Link hapo chini.www.chrismauki.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani