Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo 10 ambayo mwanamke hapaswi kumficha daktari

Kwa kawaida, mgonjwa anatakiwa kumwambia daktari ukweli kuhusu matatizo yake yote ya kiafya ili aweze kusaidiwa kupata tiba sahihi. Daktari naye kwa upande wake, hana budi kuwa mkweli kwa mgonjwa, japokuwa kuna wakati madaktari hujikuta katika wakati mgumu kuwaambia wagonjwa wao mambo ambayo wanahisi kuwa yatawasababishia hofu, kihoro, huzuni, kukata tamaa na kupoteza matumaini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Miriam Mauki: Mwanamke hapaswi kukata tamaa

NI kati ya wanamama wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa injili pamoja na ujasiriamali. Mwanamama huyu hodari asiyekata tamaa kutokana na kazi anazozifanya amekuwa mfano wa kuigwa kwa juhudi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mambo ambayo bado hayajafahamika kuhusu Covid-19

Kuna maswali mengi ambayo bado hayajajibiwa kuhusu coronavirus, Covid-19.

 

9 years ago

Bongo5

Haya ni mambo ambayo watu waliofanikiwa hawawezi kukuambia kazini

Huwezi kujenga mtandao imara wa kitaaluma kama hauko wazi kwa wanataaluma wenzako lakini unatakiwa kufanya hivyo kwa umakini mkubwa. Katika suala la kuwa muwazi inabidi kukumbuka kuwa vitu vingine ukiwa muwazi vinaleta madhara kwenye taaluma yako na kazi yako pia; Unapoongelea maisha yako kwa ujumla inakubidi uwake sanaa ya kimaongezi. Kama kuna kitu ambacho unajua […]

 

9 years ago

Bongo5

Mke wangu nilimpatia club, mazingira ambayo wengi wanadhani si mazuri kwa mwanamke — Mr Blue

Mr Blue a.k.a byser ametumia wimbo wake mpya kutoa ujumbe kwa mashabiki ambao hawajaoa au kuolewa, kuwa mtu akiamua anauwezo wa kumbadilisha mtu na kumfanya astahili kuwa mke au mme bila kujali aina ya maisha aliyopitia. Byser amesema kuwa wimbo wake mpya ‘Baki na Mimi’, unagusa moja kwa moja maisha yake na mke wake Warda. […]

 

10 years ago

GPL

MAMBO AMBAYO HUKUYAJUA KUHUSU STAA WA NOLLYWOOD ALIYEFARIKI, MUNA OBIEKWE

KIFO cha staa wa Nollwood, Muna Obiekwe kimezua gumzo kwa watu wengi nchini Nigeria na wengine ambao wanafuatilia tasnia ya filamu nchini Nigeria, sasa kuna mambo kadhaa ambayo yawezekana ulikuwa huyajui kuhusu staa huyo aliyefariki kutokana na matatizo ya figo. Staa wa Nollwood, Muna Obiekwe enzi za uhai wake. Alikuwa muoga wa waandishi wa habari
Muna hakuwa tayari kujitokeza hadharani kuomba kuchangishiwa fedha kwa kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Haya ndio mambo ambayo Alikiba anahisi kufanyiwa ili asifanikiwe

11351693_884493951620505_1998549226_n

Alikiba aliishut down Instagram Jumatatu hii kwa post iliyozua maswali mengi.

11351693_884493951620505_1998549226_n

Wengi waliitafsiri post hiyo kama amelalamika kukosa tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii nchini Nigeria, licha ya kutajwa kwenye vipengele vinne.

Akiongea na kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM kufafanua kuhusu post hiyo ya Instagram iliyofutwa tayari, Kiba alisema aliamua kuandika hivyo kuwashukuru mashabiki wake kwa namna wanavyompigania na kuwahakikisha kuwa anajitahidi kwa nguvu zake zote kuwafurahisha...

 

10 years ago

Bongo5

Mambo mawili ambayo Cassper Nyovest na Diamond walifanana siku ya tuzo za Channel O

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest na Diamond Platnumz ndio walioibuka na ushindi mkubwa kwenye tuzo za Channel O zilizofanyika Jumamosi nchini Afrika Kusini. Wote waliondoka na tuzo tatu. Lakini hilo ni jambo moja tu ambalo wasanii hao walifanana siku hiyo. La pili, wote walitumia tuzo hizo kuwatambulisha wapenzi wao wapya ambao kabla ya hapo […]

 

9 years ago

Bongo5

Haya ndio mambo ambayo Nameless wa Kenya hushindwa kufanya kutokana na kuwa maarufu

Nameless nje

Maisha ya umaarufu yana raha na karaha zake, na faida na hasara zake.

Nameless nje

Katika vitu ambavyo watu maarufu kama wanamuziki na waigizaji huwa wanakosa ni uhuru wa kufanya mambo binafsi kama watu wa kawaida.

Nimetembelea ukurasa wa Instagram wa msanii wa Kenya, Nameless na kukutana na post yake akielezea jinsi alivyojisikia vizuri alipopata uhuru wa kufanya mambo ambayo huwa hawezi kuyafanya akiwa Kenya.

nameless

Nameless ambaye yuko Marekani kwenye show amepost picha hii na kuandika:

“The thing I love...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani