Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wangu nilimpatia club, mazingira ambayo wengi wanadhani si mazuri kwa mwanamke — Mr Blue

Mr Blue a.k.a byser ametumia wimbo wake mpya kutoa ujumbe kwa mashabiki ambao hawajaoa au kuolewa, kuwa mtu akiamua anauwezo wa kumbadilisha mtu na kumfanya astahili kuwa mke au mme bila kujali aina ya maisha aliyopitia. Byser amesema kuwa wimbo wake mpya ‘Baki na Mimi’, unagusa moja kwa moja maisha yake na mke wake Warda. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

9 years ago

Mtanzania

Mr Blue: Nilimtoa mke wangu klabu za pombe

blueNA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khery Sameer, maarufu Mr. Blue, ameweka wazi namna alivyombadilisha kimaisha mke wake, Warda baada ya kumtoa kwenye klabu za usiku.

Mr. Blue, anayetamba na wimbo wa ‘Baki na Mimi’, alisema wimbo huo unaeleza maisha halisi ya yeye na mke wake huyo tangu walipokutana hadi walivyoishi na kufikia maamuzi ya kuoana na kuanzisha familia ambayo kwa sasa wana watoto wawili.

“Wimbo huu unagusa maisha ya mimi na mke wangu Warda kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Tutaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji’

Serikali Mkoa wa Tanga, imeahidi kuweka mazingira mazuri zaidi kwa mashirika na wadau wa maendeleo, ili washiriki kuinua uchumi bila kuwapo kwa vikwazo.

 

10 years ago

Habarileo

ZEC kuweka mazingira mazuri kwa walemavu

Mkurugenzi wa ZEC, Salum Kassim TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imesema itahakikisha inaweka mazingira mazuri kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika Uchaguzi Mkuu na kuondoa vikwazo vyote vinavyokwamisha kutimiza haki ya msingi ya kidemokrasia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ifahamu njia mpya ya kuzika mwili ambayo ni rafiki kwa mazingira

Kampuni moja ya Marekani imedai kwamba njia mpya ya kuzika mwili inasaidia kuzuia kaboni zaidi ya tani moja, kulingana na utafiti

 

9 years ago

MillardAyo

Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016

Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]

The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego

Chagga-na-Nay

Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.

nay-na-shamsha

Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.

Chagga-na-Nay
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego

Siku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kujenga mazingira mazuri kazini

KUNA vitu mbalimbali ambavyo kiongozi au meneja anaweza kuvifanya ili kuweka mazingira ya kazi katika hali nzuri. Miongoni mwa vitu hivyo ni kujenga kuaminiwa na wale anaowaongoza. Kujenga uaminifu ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani