‘Tutaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji’
Serikali Mkoa wa Tanga, imeahidi kuweka mazingira mazuri zaidi kwa mashirika na wadau wa maendeleo, ili washiriki kuinua uchumi bila kuwapo kwa vikwazo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Jul
ZEC kuweka mazingira mazuri kwa walemavu
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imesema itahakikisha inaweka mazingira mazuri kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika Uchaguzi Mkuu na kuondoa vikwazo vyote vinavyokwamisha kutimiza haki ya msingi ya kidemokrasia.
9 years ago
Bongo510 Sep
Mke wangu nilimpatia club, mazingira ambayo wengi wanadhani si mazuri kwa mwanamke — Mr Blue
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Kujenga mazingira mazuri kazini
KUNA vitu mbalimbali ambavyo kiongozi au meneja anaweza kuvifanya ili kuweka mazingira ya kazi katika hali nzuri. Miongoni mwa vitu hivyo ni kujenga kuaminiwa na wale anaowaongoza. Kujenga uaminifu ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8RWv9ewmAag/XmuAqu0FpoI/AAAAAAALi6U/jSVQ0zyhvcEIkwkglixqxnM2a8L9qWxtgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-32-768x513.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YASISITIZA MAZINGIRA MAZURI MJI MPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RWv9ewmAag/XmuAqu0FpoI/AAAAAAALi6U/jSVQ0zyhvcEIkwkglixqxnM2a8L9qWxtgCLcBGAsYHQ/s640/1-32-768x513.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Mbunifu Majengo, Daud Kondoro, akiwasilisha taarifa ya utendaji wa Wakala, kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi za Serikali katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-33-1024x683.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akitoa maelekezo kwa uongozi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), mara baada...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Ngeleja: Tutaweka mbele masilahi ya taifa
MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema kamati yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wataliongoza taifa katika mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Haya siyo maneno mazuri kwa mjazito
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)