KAMATI YA MIUNDOMBINU YASISITIZA MAZINGIRA MAZURI MJI MPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8RWv9ewmAag/XmuAqu0FpoI/AAAAAAALi6U/jSVQ0zyhvcEIkwkglixqxnM2a8L9qWxtgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-32-768x513.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Mbunifu Majengo, Daud Kondoro, akiwasilisha taarifa ya utendaji wa Wakala, kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi za Serikali katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akitoa maelekezo kwa uongozi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), mara baada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Kujenga mazingira mazuri kazini
KUNA vitu mbalimbali ambavyo kiongozi au meneja anaweza kuvifanya ili kuweka mazingira ya kazi katika hali nzuri. Miongoni mwa vitu hivyo ni kujenga kuaminiwa na wale anaowaongoza. Kujenga uaminifu ni...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
‘Tutaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji’
10 years ago
Habarileo03 Jul
ZEC kuweka mazingira mazuri kwa walemavu
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imesema itahakikisha inaweka mazingira mazuri kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika Uchaguzi Mkuu na kuondoa vikwazo vyote vinavyokwamisha kutimiza haki ya msingi ya kidemokrasia.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zMZCc26cNIE/VU56PfIxtGI/AAAAAAAAPPs/73zDfzYytMg/s72-c/E86A6913%2B(800x533).jpg)
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMZCc26cNIE/VU56PfIxtGI/AAAAAAAAPPs/73zDfzYytMg/s640/E86A6913%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mho7ZjOapZk/VU56Pds9yeI/AAAAAAAAPP0/wmAV9h536wI/s640/E86A6916%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jGOMmN0HtZY/VU56PdnB42I/AAAAAAAAPP4/hWrY9HhdlE0/s640/E86A6917%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2BC8mxStR1Q/VU56SqvQVSI/AAAAAAAAPQE/ZacvWwbvq5c/s640/E86A6919%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5wCBwk_nDQ4/VU56UWQzbSI/AAAAAAAAPQM/JeL9LJ1VITo/s640/E86A6927%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ms8SxMOGfIc/VU56a3A8XBI/AAAAAAAAPQ0/EP7lvwQ_JEE/s72-c/E86A6949%2B(800x533).jpg)
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ms8SxMOGfIc/VU56a3A8XBI/AAAAAAAAPQ0/EP7lvwQ_JEE/s640/E86A6949%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y7desf_xVMg/VU56cJYUxAI/AAAAAAAAPRA/7CoqyQx39Dg/s640/E86A6955%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fuxX6Rv_308/VU56cDgHw4I/AAAAAAAAPQ8/uHeZFP8fnpw/s640/E86A6958%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mho7ZjOapZk/VU56Pds9yeI/AAAAAAAAPP0/wmAV9h536wI/s640/E86A6916%2B(800x533).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
UNDP yasisitiza vita ya umaskini kwa kutumia mazingira
Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama akitoa maelezo kuhusu mradi wa PEI na salamu kutoka UNDP kwa washiriki wa mafunzo hayo hivi karibuni jijini Mwanza.
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
MKURUGENZI Msaidizi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Amon Manyama, alisema vita dhidi ya umaskini inakuwa na maana kubwa kama inalinganishwa na mazingira.
Alisema kwamba umaskini wa kipato ambao umekuwa ukipiganwa sana...