Haya siyo maneno mazuri kwa mjazito
Licha ya kuwa na changamoto nyingi, ujauzito ni hatua yenye faraja kubwa sana wanawake wengi. Kwani kila mmoja huwa na matumaini makubwa kwa kile alichokibeba tumboni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka
Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.
![Diamond Akiwa na Dr.Mwaka](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/DIAMND56.png)
Diamond Akiwa na Dr.Mwaka
Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...
9 years ago
Bongo Movies25 Aug
Baada ya Baadhi ya Mashabiki Kumshambulia kwa Maneno, JB Asema Haya
Kufuatia kitendo baadhi ya mashabiki kumshabulia kwa maneno makali staa wa Bongo Movies, JB kwa kuonyesha mapenzi yake kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa mwaka huu, JB amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuwataka wabadilike kimtazamo.
Hakuna kitu muhimu kwenye maisha kama furaha....lakini furaha ina ambatana na kufanya mambo ambayo moyo wako unapenda bila kuvunja sheria.
Kuishi maisha ya kuogopa kitu unachopenda kwa sababu ya watu ni kuinyima furaha roho...
10 years ago
Bongo Movies22 Mar
Kwa Maneno Haya, Wolper Anajivunia Mpenzi Wake Aliempa ‘Ndinga’ Hili
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ametupia picha hizi kwenye ukurasa wake mtandaoni na kuziandikia maneno kwa lugha ya “Malkia” ..
“Being with someone who won't give up on you”. Akaandika tena “Be with someone who is proud to have you. Thug life mentality”.
Kauli hizi zinaonyesha mrembo huyu kwasasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambaye anampenda na anaonyesha kumajali sana mrembo huyu na pengine kwa swaga za mitandaoni , naungana na wengi waliompongeza kwa kupewa ndinga...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Mzazi afanye haya ili mtoto apate matokeo mazuri
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-FAyUBzOM-9I/VXeO_Wbb5UI/AAAAAAADq7o/zV1LufxyouE/s72-c/Tibaijuka.jpg)
UNANINI CHA KUSEMA JUU YA MANENO HAYA YA PROF ANNA TIBAIJUKA KWA WAPIGA KULA WAKE BAADA KUZOMEWA MBELE YA KINANA HUKO BUKOBA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-FAyUBzOM-9I/VXeO_Wbb5UI/AAAAAAADq7o/zV1LufxyouE/s640/Tibaijuka.jpg)
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
Maneno Haya ya Lulu ,Yachukulie Kama Changamoto
Mrembo na staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram ameandika ujumbe mzuri ambao kiukweli unaweza kukupa nguvu zaidi kufikia malengo yako kama mtu unaejitambua.
“The more they try to slow you down on the road of purpose, the faster you have to go..!
You only meet opposition when you're going the right way”
Kwa tafsiri isiyo rasmi anasema “kwa jinsi wanavyozidi kujaribu kukurudisha nyuma katika njia ya mafanikio ndio inakubidi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnUxlxBzSJOxz20Gncm5qO0eUWWGA1CD5C01MfEuYX2N2G1YgyyX*uBTf*5SOXctA*wRLR4aMWwpPwS498Cchwts/mahaba.jpg)
MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA! - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2aNNpx-nZOrkvw-5IHwDVrjWKuhGp6GvzKeik8YLQ4xw5oYqbSYw*UNt3LS5T-9F0nnAmUtBOzK5CsX-ulgO6k/mahaba.jpg?width=600)
MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA!