Maneno Haya ya Lulu ,Yachukulie Kama Changamoto
Mrembo na staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram ameandika ujumbe mzuri ambao kiukweli unaweza kukupa nguvu zaidi kufikia malengo yako kama mtu unaejitambua.
“The more they try to slow you down on the road of purpose, the faster you have to go..!
You only meet opposition when you're going the right way”
Kwa tafsiri isiyo rasmi anasema “kwa jinsi wanavyozidi kujaribu kukurudisha nyuma katika njia ya mafanikio ndio inakubidi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Maneno Haya ya Lulu Kwenye Picha Hii ya Waacha Hoi Mashabiki Wake
Hapa na Pale: Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha watu hoi baada ya kubandika picha hiyo hapo chini ikimuonyesha yeye na baba yake mzazi ‘Mzee Michael’ na kumwagia sifa baba yake huku akiomba dua aje kuzaa mtoto atakaye fanana na baba yake (Mzee Michael) kitendo ambacho kila shabiki yake mtandaoni alikuwa na yake ya kusema.
“Le Mbebe…! Le Super HandsomeLe Twinnie
Mzaa Chema…Mzee Michael..!!!
Ewe Mtoto Wangu WA...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Haya siyo maneno mazuri kwa mjazito
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnUxlxBzSJOxz20Gncm5qO0eUWWGA1CD5C01MfEuYX2N2G1YgyyX*uBTf*5SOXctA*wRLR4aMWwpPwS498Cchwts/mahaba.jpg)
MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA! - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2aNNpx-nZOrkvw-5IHwDVrjWKuhGp6GvzKeik8YLQ4xw5oYqbSYw*UNt3LS5T-9F0nnAmUtBOzK5CsX-ulgO6k/mahaba.jpg?width=600)
MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA!
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Maneno Haya ya Faiza ni Darasa Tosha wa Wanawake Wengine
Staa wa Bongo Movies Faiza Ally ambae ni mzazi mwenza wa Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amebandika hili andiko hili mtandaoni, hebu chukua muda wako kulisoma andiko hili, kuna punje utazipata.
Nimepata marafiki wengi wapya - na wengine ni baada ya kuona kipindi kinacho endelea Jana (juzi) na leo (jana) Claud's TV - nataka tu niwaambie kwamba wakati huo wa uzuni na uchungu mwingi ulisha pita sasa hivi niko sawa kabisa na nimekubali matokeo ya maisha yaliopo sasa- na zile tofauti haziko tena na...
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka
Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.
![Diamond Akiwa na Dr.Mwaka](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/DIAMND56.png)
Diamond Akiwa na Dr.Mwaka
Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Haya Ndiyo Maneno ya Wolper Baada ya Kuvalishwa Pete
Staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper ambaye amevishwa pete na mchumba wake, jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram alifunguka haya, mara baada ya kubandika picha hizihuku akipost picha kadhaa wakati akivalishwa pete.
”Kweli Maisha uwezi kuyapanga wala kuyajenga zaidi ya Mungu.. dah nimekaa na mwenzangu leo sku nzima nimecheka nimenuna kumbe kuna tukio mbele dah sijategemea kabisa nimekaa maskani niliyozoea kukaa kila sku na Mr wangu sasa leo nashangaa kanunua mashat...
10 years ago
Bongo Movies23 Jun
Maneno Haya ya JB Kuhusu ‘Soka la Bongo’ Yaungwa Mkono na Wengi
Kutoka mitandaoni, JB amendika haya kuhusiana na timu yetu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’
Timu nzuri ya Taifa inaanzia kwenye vilabu...ili upate wachezaji wazuri ni lazima uwekeze.mpira ni kama shule unaanzia cheke chea.Watoto hawa wakati wako huko camp wanafundishwa mpira na shule pia wanaenda.viwanja na waalimu.uwekezaji huu ni rahisi kufanywa na mtu binafsi kama Azam kulikotimu zinazomilikiwa na wanachama....Naamini wawekezaji wanamna hii wakiongezeka na kupata sapoti kutoka kwa...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Haya ni maneno ya Wema Sepetu kuhusu inshu ya kumdai Diamond
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/spt.jpg?resize=501%2C376)