Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maneno Haya ya JB Kuhusu ‘Soka la Bongo’ Yaungwa Mkono na Wengi

Kutoka mitandaoni, JB amendika haya kuhusiana na timu yetu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’

Timu nzuri ya Taifa inaanzia kwenye vilabu...ili upate wachezaji wazuri ni lazima uwekeze.mpira ni kama shule unaanzia cheke chea.Watoto hawa wakati wako huko camp wanafundishwa mpira na shule pia wanaenda.viwanja na waalimu.uwekezaji huu ni rahisi kufanywa na mtu binafsi kama Azam kulikotimu zinazomilikiwa na wanachama....Naamini wawekezaji wanamna hii wakiongezeka na kupata sapoti kutoka kwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Haya ni maneno ya Wema Sepetu kuhusu inshu ya kumdai Diamond

Ukubwa wa stori hii ambayo jana aliizungumzia Martin Kadinda kama Meneja wa Wema Sepetu imefanya millardayo.com kutaka kuujua undani zaidi kutoka kwa Wema mwenyewe.Kwenye exclusive Interview,Wema amesema>>’Taarifa hii imenishtua sana maana asubuhi ya jana nimekuta kwenye gazeti wameandika nikashangaa yaani hapa nimekaa kwa sababu muda mwingi siendeshi mimi akaunti yangu ya twitter,anaiendesha mtu wangu wa blog Bestizo maana nilikua nataka kutoa tamko’‘Nilishasema ukurasa huu tulishaufunga na...

 

9 years ago

MillardAyo

Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016

Tayari tumemalizana na mwaka 2015 na sasa tupo katika mwaka 2016, kila mtu anapanga mipango yake katika huu mwaka kuhakikisha kila kitu chake kinatimia. Wakati watu wakiwa wanapanga mipango yao hiyo, katika soka haya ndio matukio 10 ambayo watu wa soka wanasubiri kuyaona yakitokea kwa mwaka 2016. 1- Tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon […]

The post Haya ndio matukio 10 ambayo yatateka hisia za watu wengi wa soka kwa mwaka 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jumaru yaungwa mkono uanzishwaji chuo kikuu

JUKWAA la Maendeleo Mkoa wa Rukwa (Jumaru), limesema mkakati wao wa kujenga chuo kikuu mkoani humo umeungwa mkono na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

 

10 years ago

Bongo Movies

Andiko Hili la Wema Kuhusu Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015, Laungwa Mkono na Wengi

Naomba mimi kama Wema Sepetu, nitoe tamko langu rasmi kuhusu hii Sheria mpya iliyopitishwa bungeni. Naongelea Sheria ya cybercrime au cyberbulling. Ukweli ni Kwamba watanzania tunatumia vibaya mitandao ya kijamii. Matusi yamekuwa ni mengi na sometimes hawavumiliki. Kwa kweli kunahitahija Kuwa na laws in place za kupunguza unyanyasaji kupititia mitandao ya kijamii. That said, yes nai support hii bill ya cyber crime to an extend.

Kama jinsi ambavyo watanzania tunatumia vibaya mitandao kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichokisema JB kuhusu soka la bongo. Asikitishwa na uchovu wa wachezaji.

Kupitia mtandao mmoja wa kijamii nchini, mwigizaji nguli Jacob Steven – JB ameamua kufunguka haya yake ya moyoni kuhusu mpira wa kibongobongo

“Wapenda kandanda kama mimi hembu tujadili kidogo nyinyi mnaonaje? hivi mbona mimi sielewi? ni kweli hata mimi nafurahia ujio wa wachezaji wa kigeni kwamba wataleta changamoto lakini hawa wa kwetu wamekumbwa na nini? mbona mchezaji anacheza msimu mmoja tu kwisha? leo hii angalia timu ya taifa ukiacha kina Samatta hatuna mshambuliaji, hamuoni wivu...

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva

Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu  wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao

“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni  mbali  hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Haya siyo maneno mazuri kwa mjazito

Licha ya kuwa na changamoto nyingi, ujauzito ni hatua yenye faraja kubwa sana wanawake wengi. Kwani kila mmoja huwa na matumaini makubwa kwa kile alichokibeba tumboni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani