Maneno Haya ya Faiza ni Darasa Tosha wa Wanawake Wengine
Staa wa Bongo Movies Faiza Ally ambae ni mzazi mwenza wa Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amebandika hili andiko hili mtandaoni, hebu chukua muda wako kulisoma andiko hili, kuna punje utazipata.
Nimepata marafiki wengi wapya - na wengine ni baada ya kuona kipindi kinacho endelea Jana (juzi) na leo (jana) Claud's TV - nataka tu niwaambie kwamba wakati huo wa uzuni na uchungu mwingi ulisha pita sasa hivi niko sawa kabisa na nimekubali matokeo ya maisha yaliopo sasa- na zile tofauti haziko tena na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies02 Jan
Maneno ya Lulu kwa Mama Yake ni Fundisho Tosha
Mwigizaji Lulu ameandika haya jana kwenye ukurasa wake mtandaoni, ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi.
The pic Says all…!
Umenifundisha kujua thamani ya Mama Duniani,Umenifundisha urafiki wa kweli uko vipi,undugu WA kweli uko vipi.
Pale ambapo wote walikimbia,walikuwa kinyume Na Mimi Wewe Ndo ulisimama .
Naweza kuandika maneno Milioni lkn kiukweli hakuna namna ninayoweza kukuelezea na watu wakapata picha halisi ya ulivyo
Una mapungufu yako..Ndio sikatai .
Una mabaya yako…Ndio maana...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Kombe la Kagame darasa tosha kwa timu zetu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2aNNpx-nZOrkvw-5IHwDVrjWKuhGp6GvzKeik8YLQ4xw5oYqbSYw*UNt3LS5T-9F0nnAmUtBOzK5CsX-ulgO6k/mahaba.jpg?width=600)
MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnUxlxBzSJOxz20Gncm5qO0eUWWGA1CD5C01MfEuYX2N2G1YgyyX*uBTf*5SOXctA*wRLR4aMWwpPwS498Cchwts/mahaba.jpg)
MPENZI WAKO AKIKUAMBIA MANENO HAYA, ZINDUKA! - 2
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Haya siyo maneno mazuri kwa mjazito
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
Maneno Haya ya Lulu ,Yachukulie Kama Changamoto
Mrembo na staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram ameandika ujumbe mzuri ambao kiukweli unaweza kukupa nguvu zaidi kufikia malengo yako kama mtu unaejitambua.
“The more they try to slow you down on the road of purpose, the faster you have to go..!
You only meet opposition when you're going the right way”
Kwa tafsiri isiyo rasmi anasema “kwa jinsi wanavyozidi kujaribu kukurudisha nyuma katika njia ya mafanikio ndio inakubidi...
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Haya Ndiyo Maneno ya Wolper Baada ya Kuvalishwa Pete
Staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper ambaye amevishwa pete na mchumba wake, jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram alifunguka haya, mara baada ya kubandika picha hizihuku akipost picha kadhaa wakati akivalishwa pete.
”Kweli Maisha uwezi kuyapanga wala kuyajenga zaidi ya Mungu.. dah nimekaa na mwenzangu leo sku nzima nimecheka nimenuna kumbe kuna tukio mbele dah sijategemea kabisa nimekaa maskani niliyozoea kukaa kila sku na Mr wangu sasa leo nashangaa kanunua mashat...
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr. Mwaka
Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo.
![Diamond Akiwa na Dr.Mwaka](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/DIAMND56.png)
Diamond Akiwa na Dr.Mwaka
Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa kuhusu huduma zake kwa sasa, Diamond ambaye ametumika kwenye matangazo ya Dokta huyo ameandika haya leo mtandaoni mara baada ya kuweka picha...