Mzazi afanye haya ili mtoto apate matokeo mazuri
Hivi karibuni Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne. Kwa mujibu ya matokeo hayo, ufaulu umeongezeka tofauti na mwaka jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLASHA BARAKA ANASUBIRI RASIMU YA KATIBA ILI AFANYE UAMUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycM1eV-4ZVcbeO0KTmxZj-DxIRrQP9SHaCeQxK5g3AdtbI*E4QKgcyT-4Mn8JrIoWJHZGGg4PgiaXblhwaNGzX6C/DIAMOND.gif?width=650)
NASIBU ABDUL ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiHOLE0PU-xrc7lTy4NJdQros2HRDf6ffqp8Mk9W*zq5lUbvl2JxN7cTGqLWdJ2tTCKxSnNWe5gqhc9qfOAzv3Ps/BELA.jpg)
CHRISTIAN BELLA ADAI HATOI WIMBO MPYA ILI APATE TUZO
10 years ago
Vijimambo25 Nov
NASIBU ABDUL "DIAMOND" ALISHAFANYA VIBARUA ILI APATE FEDHA YA CHAKULA
![](http://api.ning.com/files/DbrwTSp7ycP0I*NwDdURSJVLMWPPzXicG760VyP4w32CTQjjua4Og4Wrazq7XpEDW6390Y9jtQBBwFEqG*CQoqJe6R9Y0cMA/diamond.png?width=650)
ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa saa kumi na moja jioni ya Oktoba 2, 1989 katika Hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. Wazazi wake walimpa jina la Nasibu wakiamini ni la bahati.
Diamond aliongea hivi karibuni na safu hii ya Mjue Huyu ambapo aliweka wazi mambo mengi ya maisha yake. Diamond akiwa hajapata ufahamu, yaani bado mdogo, wazazi wake walitengana kwa sababu ambazo bado hazijawa wazi na baba yake kumuacha na...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Haya siyo maneno mazuri kwa mjazito
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
‘Mtoto apate haki ya kumfahamu baba’
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Ezekiel Oluoch, ametaka katiba mpya iweke kipengele cha haki ya mtoto kumfahamu baba yake mzazi. Akichangia mjadala wa jumla kuhusu ibara za sura za...
9 years ago
Bongo Movies22 Oct
Mzee Jangala: Alitamani Mtoto Wake Afanye Kazi Hii..
MKONGWE wa filamu za vichekesho nchini, Bakari Mbelemba maarufu kama Mzee Jangala, amesema alitamani mwanaye wa kwanza wa kiume awe mwanajeshi badala ya kuwa kwenye fani yake ya sanaa.
Mzee Jangala alisema enzi zao walikuwa wanaamini zaidi ukiwa na mtoto mwanajeshi kuna mambo mbalimbali atakuwa anaweza kuyatimiza kama atakuwa na nafasi kubwa.
“Chaguo la kwanza nilitaka mwanangu awe mwanajeshi, kama alikuwa anataka kuwa daktari au kufanya sanaa basi nilipenda avifanye akiwa jeshini lakini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ONgxDe_C1PA/VmBYW9p44kI/AAAAAAAAJRU/oWpk_Fp4ykE/s72-c/Hai%2B1.jpg)
RC Makalla afurahishwa na matokeo mazuri ya darasa la saba wilayani Hai
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONgxDe_C1PA/VmBYW9p44kI/AAAAAAAAJRU/oWpk_Fp4ykE/s640/Hai%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, HaiMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amehudhuria halfa ya kuwapongeza walimu wilayani Hai, mkoani humo, kwa kufanikisha ufaulu mzuri wa darasa la...